Katibu wa Bunge huteuliwa na Rais na kula kiapo cha utii kwa Rais, sio Spika. Hatakubali ratiba ya kumhujumu Rais iingie Bungeni

Nafikiri wewe sio mtanzania au ni mgeni Tanzania!

Unaisema Tanzania gani mahakama ipige danadana kesi iliyo na maslahi kwa Rais?

Soma katiba ya Tanzania Rais ni ni nani alafu urudi hapa
Hujawahi kuona wala kusikia Power Struggle..., Mshindi huwa hajulikani mpaka hio struggle iishe..., utashangaa hapo makundi yatakayojitokeza na yakisha-smell weakness na sentiments za watu mtaani ndio utaelewa kwamba Nothing is....., until it is.....

Ila sababu najua Tanzania na hawa mafahari wanajua kinachoweza kutokea usitegemee kuna atakayediriki kumsukuma mwenzake (labda Speaker aamue kuondoka )
 
Endelea kujidanganya! Kama ni mgeni Tanzania karibu sana! Ni vizuri uanze kusoma historia ya Tanzania siasa zake tangu uhuru Hadi sasa!

Marehemu kambona angekuwa hai angekuelewesha vizuri maana ya kushindana na Rais wa JMT.
Hujawahi kuona wala kusikia Power Struggle..., Mshindi huwa hajulikani mpaka hio struggle iishe..., utashangaa hapo makundi yatakayojitokeza na yakisha-smell weakness na sentiments za watu mtaani ndio utaelewa kwamba Nothing is....., until it is.....

Ila sababu najua Tanzania na hawa mafahari wanajua kinachoweza kutokea usitegemee kuna atakayediriki kumsukuma mwenzake (labda Speaker aamue kuondoka )
 
Endelea kujidanganya! Kama ni mgeni Tanzania karibu sana! Ni vizuri uanze kusoma historia ya Tanzania siasa zake tangu uhuru Hadi sasa!

Marehemu kambona angekuwa hai angekuelewesha vizuri maana ya kushindana na Rais wa JMT.
Its all about timing na historia kuandikwa na mshindi..., kete mbili au tatu zingekwenda tofauti na zilivyokwenda ungeweza kusikia kwamba Nyerere alikuwa Kiongozi aliyepinduliwa na kina Uncle Tom kutupeleka ambapo wangetupeleka...

Wenye busara they don't mess or bet with the unknown..., Na huyu mama ameingia kwa nguvu ya kuonyesha Demokrasia na Uhuru na Haki (unadhani kwa kuminya mmhimili mmoja katika separation of Power) huku dunia anayoitangazia kila siku kwamba kuna Demokrasia watamfikiria vipi ? Hio ni a very risky business ambayo kuifanya itakuwa ngumu sana na itabakia kwenye vijimaneno tu ambavyo mwezi wa pili tutakuwa tunaongelea jingine.....

Na mtu akifukuzwa hataondoka kimya kimya itakuwa ni kama Mama kumkabidhi Microphone ili aendelee kumvua nguo (na with public sentiment that's the war she can not afford to fight)....
 
Its all about timing na historia kuandikwa na mshindi..., kete mbili au tatu zingekwenda tofauti na zilivyokwenda ungeweza kusikia kwamba Nyerere alikuwa Kiongozi aliyepinduliwa na kina Uncle Tom kutupeleka ambapo wangetupeleka...

Wenye busara they don't mess or bet with the unknown..., Na huyu mama ameingia kwa nguvu ya kuonyesha Demokrasia na Uhuru na Haki (unadhani kwa kuminya mmhimili mmoja katika separation of Power) huku dunia anayoitangazia kila siku kwamba kuna Demokrasia watamfikiria vipi ? Hio ni a very risky business ambayo kuifanya itakuwa ngumu sana na itabakia kwenye vijimaneno tu ambavyo mwezi wa pili tutakuwa tunaongelea jingine.....

Na mtu akifukuzwa hataondoka kimya kimya itakuwa ni kama Mama kumkabidhi Microphone ili aendelee kumvua nguo (na with public sentiment that's the war she can not afford to fight)....
Tatizo unamuangalia Samia Kama Samia

Nakushauri muangalie Samia Kama Rais wa Nchi, Mkuu wa nchi, Mkuu wa Serikali na Amir Jeshi Mkuu
 
Tatizo unamuangalia Samia Kama Samia

Nakushauri muangalie Samia Kama Rais wa Nchi, Mkuu wa nchi, Mkuu wa Serikali na Amir Jeshi Mkuu
Naam anaweza kuamua watu wacharazwe Bakora na kumiminiwa risasi hapo Kariakoo..., ila kufanya kwake hivyo kutamuongezea chochote politically au kumuharibia....

Ndio maana sababu hawa ni wana-Siasa nawaangalia ki-Siasa Siasa..., hata kumjibu kwake Ndugai jana na kuwa personal nadhani politically hakupata ushauri (yeye angeachana nae na akatuma watu wamfanyie hio kazi chafu) wakati yeye aki-maintain ile illusion kwamba ni More White than White and Cleaner than Clean..... (nadhani hapa alikosa ushauri wa Mwanadiplomasia)
 
Hivi kuna wajinga wanaamini kuwa Ndugai anafika hata mwezi February akiwa Speaker?


Kweli elimu ya Katiba inahitajika sana Tanzania!

Samia anamuondoa Ndugai kupitia Chama tu hana hata haja ya kwenda Bungeni.

Kwa Katiba yetu spika Kama ni mbunge akikosa ubunge anakosa na u spika. Ni very simple kikao kimoja tu cha Ccm kamati kuu au halmashauri kuu kinamaliza kazi
Hana hiyo jeuri na ategemee pingamizi maana ata yeye chama hakimkubali na anajua hili
 
Tatizo CC
Katibu wa Bunge huteuliwa na Rais, na ndiye humwapisha, hatakubali ratiba iingie Bungeni ya kumhujumu SSH, atatoa taarifa mapema ili mapambano yaanze.

Askari wa Bunge wanatoka kwenye majeshi ambayo Amiri wake ni SSH, wanamtii, hii ni pamoja na maafisa usalama wa pale Bungeni, Wana utii moja kwa moja kwa Rais. Mnaowaza kura ya kutokuwa na imani endeleenu kuota, mtakula mnachoota. Hata bajeti ya kuitisha kikao Cha Bunge, mpaka SSH aisaini kuruhusu pesa itokeee.

Walinzi katika jumba la spika, makazi yake, wanatoka kwa serikali ya SSH, wanaweza kumzuia Spika asitoke getini, au wale walioko Bungeni wakamzuia asiingie, yeye na wenzake

Hilo Ni tatizo Rais ana nguvu kwenye mihimili yote. Iwe mahakama au bunge.
 
Katibu wa Bunge huteuliwa na Rais, na ndiye humwapisha, hatakubali ratiba iingie Bungeni ya kumhujumu SSH, atatoa taarifa mapema ili mapambano yaanze.

Askari wa Bunge wanatoka kwenye majeshi ambayo Amiri wake ni SSH, wanamtii, hii ni pamoja na maafisa usalama wa pale Bungeni, Wana utii moja kwa moja kwa Rais. Mnaowaza kura ya kutokuwa na imani endeleenu kuota, mtakula mnachoota. Hata bajeti ya kuitisha kikao Cha Bunge, mpaka SSH aisaini kuruhusu pesa itokeee.

Walinzi katika jumba la spika, makazi yake, wanatoka kwa serikali ya SSH, wanaweza kumzuia Spika asitoke getini, au wale walioko Bungeni wakamzuia asiingie, yeye na wenzake
Ndugai hana mpango wa kupambana na ssh kwani anajua hana huo ubavu

Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
 
Kwahio sio lazima awe Mbunge ila kama alikuwa Mbunge akiondolewa Ubunge atakosa Uspika....

Vipi tuki-refer kesi ya Zitto na Ubunge wa Mahakama (kwamba hata Chama kikikuvua uanachama bado unapewa leeway ya kuendesha kesi na kugombania Ubunge wako....., Huoni kwamba Chama huenda kisiwe na final say ?
Kimbuka aliye mkingia kifua zito ni ofisi ya bunge
 
Katibu wa Bunge huteuliwa na Rais, na ndiye humwapisha, hatakubali ratiba iingie Bungeni ya kumhujumu SSH, atatoa taarifa mapema ili mapambano yaanze.

Askari wa Bunge wanatoka kwenye majeshi ambayo Amiri wake ni SSH, wanamtii, hii ni pamoja na maafisa usalama wa pale Bungeni, Wana utii moja kwa moja kwa Rais. Mnaowaza kura ya kutokuwa na imani endeleenu kuota, mtakula mnachoota. Hata bajeti ya kuitisha kikao Cha Bunge, mpaka SSH aisaini kuruhusu pesa itokeee.

Walinzi katika jumba la spika, makazi yake, wanatoka kwa serikali ya SSH, wanaweza kumzuia Spika asitoke getini, au wale walioko Bungeni wakamzuia asiingie, yeye na wenzake
 
Kwahio sio lazima awe Mbunge ila kama alikuwa Mbunge akiondolewa Ubunge atakosa Uspika....

Vipi tuki-refer kesi ya Zitto na Ubunge wa Mahakama (kwamba hata Chama kikikuvua uanachama bado unapewa leeway ya kuendesha kesi na kugombania Ubunge wako....., Huoni kwamba Chama huenda kisiwe na final say ?
Rudi shule
 
Back
Top Bottom