Mdakuzi mkuu
JF-Expert Member
- Dec 27, 2016
- 212
- 719
Katibu Tawala wa Wilaya ya Monduli Ndg Robert Siyantemi ameshauri tafiti zilizofanywa kuhusu binadamu ziangalie uwezekano wa kutumia damu ya tumbili, nyani, sokwe na wanyama wengine ili iweze kusaidia changamoto za uhaba wa damu kwa binadamu.
Alitoa ushauri huo mbele ya Mkuu wa mkoa wa Arusha ndg Mrisho Gambo.
Source: MWANANCHI
Ushauri damu ya wanyama itumike kwa binaadamu
Alitoa ushauri huo mbele ya Mkuu wa mkoa wa Arusha ndg Mrisho Gambo.
Source: MWANANCHI
Ushauri damu ya wanyama itumike kwa binaadamu