Dingswayo
JF-Expert Member
- May 26, 2009
- 4,019
- 2,923
| | |
|
| | |
|
Hakuna cha ujeshi wala usilie lie,huyo kachezea kichapo cha kawaida na hakihusiani na mambo ya jeshi,cha msingi ni kwamba jamaa wapo vizuri wao kama wao,hata cdm kuna kurugenzi ya usalama chini ya Lwakatare ambae pia ni gaidi mkuu hapa nchini,so na yeye afundishe ugaidi vijana wake.
Hakuna cha ujeshi wala usilie lie,huyo kachezea kichapo cha kawaida na hakihusiani na mambo ya jeshi,cha msingi ni kwamba jamaa wapo vizuri wao kama wao,hata cdm kuna kurugenzi ya usalama chini ya Lwakatare ambae pia ni gaidi mkuu hapa nchini,so na yeye afundishe ugaidi vijana wake.
Alitekwa au alivamia kambi ya watu. Alijua hapo kuna kambi ya watu alikuwa anakatisha kwa malengo gani tena eneo la Shule? Hata kama nyumba yake. Habari zako ni za upande mmoja usikute alileta za kuleta vijana wakamuonyesha ukakamavu!!!!
Habari ya kutekwa shonza kweli nimeisikia huko dodoma.Wee acha zako huyo Dada anatumia dozi shauri yako mi simo
Mkuu katibu wa ccm mkoa unasema amekana kuhusika kwa vijana wake,wewe unaweza kutusaidia kuthibitidha kuwa ni vijana wa ccm umetumia kigezo gani any way pengine kweli tupia picha ya aliyetekwa tukuamini mkuu.
Hakuna cha ujeshi wala usilie lie,huyo kachezea kichapo cha kawaida na hakihusiani na mambo ya jeshi,cha msingi ni kwamba jamaa wapo vizuri wao kama wao,hata cdm kuna kurugenzi ya usalama chini ya Lwakatare ambae pia ni gaidi mkuu hapa nchini,so na yeye afundishe ugaidi vijana wake.