nkanga chief
JF-Expert Member
- May 31, 2016
- 2,084
- 1,620
Katibu Mwenezi wilaya ya Nyasa ahamia chadema amesema CCM ni chama cha wezi na wala rushwa achukizwa na kitendo cha viongozi wa Serikali kununua madiwani. Adai pesa wanazonunua madiwani wangenunua madawa hospitali yakasaidia wananchi.
Pia amesema pesa hizo zingesaidia wanafunzi elimu ya juu kuwapatia mikopo. Asema CCM haina tija kwa wananchi. Amesema CHADEMA ndio chama pekee chenye kuleta ukombozi kwa taifa, saa ya ukombozi ndio sasa.
Pia amesema pesa hizo zingesaidia wanafunzi elimu ya juu kuwapatia mikopo. Asema CCM haina tija kwa wananchi. Amesema CHADEMA ndio chama pekee chenye kuleta ukombozi kwa taifa, saa ya ukombozi ndio sasa.