IKIRIRI
JF-Expert Member
- Jan 14, 2018
- 2,734
- 3,017
Katibu Mtendaji BASATA bwana Godfrey Mungereza amefariki dunia leo.
Katibu mkuu Wizara ya Habari, Tamaduni na Michezo na Msemaji Mkuu wa Serikali, Dkt. Hassan Abbas amethibisha habari hii.
Amefariki Dodoma alipokuwa anapatiwa matibabu.
Pia taarifa zimethibitishwa na watu wake wa karibu.
Bado sababu za kifo chake hakijulikani.
Taarifa zaidi zitawajia.
RIP
Godfrey Mungereza enzi za uhai wake
Katibu mkuu Wizara ya Habari, Tamaduni na Michezo na Msemaji Mkuu wa Serikali, Dkt. Hassan Abbas amethibisha habari hii.
Amefariki Dodoma alipokuwa anapatiwa matibabu.
Pia taarifa zimethibitishwa na watu wake wa karibu.
Bado sababu za kifo chake hakijulikani.
Taarifa zaidi zitawajia.
RIP
Godfrey Mungereza enzi za uhai wake