Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyu bwana yupo makini ni bora akaajiriwa Azam FC.Katibu mkuu wa Yanga, Dr. Jonas Tiboroha amejiuzulu wadhifa wake ikiwa ni takriban mwaka mmoja tangua akalie kiti hicho.
Tiboroha ameandika barua ya kujiudhuru kwa Mwenyekiti wa Yanga, Yusuph Manji kwa sababu alizoziita za “kujikita zaidi katika kazi yake ya uhadhiri Chuo Kikuu cha Dar es Salaam’.
Habari za ndani ya Yanga zinasema kujiuzulu kwa Tiboroha si jambo la kushtukiza kwani kumekuwa na msuguano kwa muda sasa kati ya pande mbalimbali.
Inadaiwa suala la Niyonzima pamoja na usajili wa wachezaji na kutolewa mlangoni kwa baadhi ya makomandoo kulizua vita ya kimaslahi ndani ya klabu hio.
Habari zaidi zinadai, Tiboroha aliamua kung’atuka baada ya kuwepo taarifa za nafasi yake kupewa mkurugenzi wa fedha, Baraka Deusdith kuikaimu yake.
usifikiri kama yanga itayumba ng'ooo.. vipigo vipo palepape.Binafsi nimefurahi, adui mwombee njaa. Tayari gogoro linafukuta nyumba ya jirani.
Yangu macho. Kwa sisi wapenzi wa mpira wa hapa kwetu tunajua, gogoro zamu kwa zamu likitulia kwa wananchi ujue wazalendo hali ngumu. We si shabiki wa Chelse au Mwanitesa united huwez jua soka letuusifikiri kama yanga itayumba ng'ooo.. vipigo vipo palepape.
Kauli yako unaionaje na yalitokea Yanga?Pluijm aupongeza uongozi wa yanga kwa hatua walizochukua.
Binkleb aupongeza uongozi wa yanga kwa hatua walizochukua.....
Bye bye hakizimana....nenda simba.....
Tiboroha is there to stay
Msemaji mtu wa mwenyekitiKama Katibu mkuu akichukuliwa hatua kwa uamuzi aliouchukua usio na baraka, basi hata msemaji wa klabu naye achukuliwe hatua kwa kutangaza uamuzi ambao haukuwa na baraka