KUTATABHETAKULE
JF-Expert Member
- Apr 2, 2012
- 4,595
- 4,193
Muosha, huoshwa!Jamaa (Lugola) alipambana na makamanda wa polisi kweli kweli huku akiwatumbua au kuwahamisha vituo hatimaye leo msumeno umemgeukia.
Muosha, huoshwa!Jamaa (Lugola) alipambana na makamanda wa polisi kweli kweli huku akiwatumbua au kuwahamisha vituo hatimaye leo msumeno umemgeukia.
Wewe usiguse huko familia inakutegemeaKwani yeye nani alipitisha ununuzi wa ndege?? /na yeye aachie ngazi
Sent using Jamii Forums mobile app
Ila kweli siasa hatariiiii unaweza kufa kabla siku zakoKweli aliekuweka ndo anaeweza kukutoa nawaza kama Mimi ndo ningekuwa Kangi mbele ya kutoa sifa zote na unatumbuliwa sijui unarudi na pozi gani mtaani.
Hapo ndo utapoona mwanasiasa anakua mwanafalsafa
Daah! Maskini mzee lugola sasa angekuwa na mke angemliwaza angalau
si kuwaogopa ni kuwaheshim maana hawa watu wakitibuka nchi itachafuka. nikwenda nao polepoleRais anawaogopa majenerali wa majeshi jwtz mbona huyo katibu mkuu kamtumbua kwa unyenyekevu?
Kangi Lugola atakuwa alikwenda na usafiri wa ofisi, je baada ya speech ya kiongozi atarudishwa na usafiri huo au protokali zinasemaje kama mtu akitumbuliwa akiwa jukwaani?
Karma...Lugola nilikwambia achia ardhi ya mpiga kura wako hukusikia, nenda kamalizane na mjane mrudishie shamba lake kulinda heshima kwenye jimbo lako. Usipofanya hivyo usiseme sikukuambia.
Sent using Jamii Forums mobile app
Alijisahau sana. Akasahau kuwa Augustine Mrema aliwahi kuwa waziri wa wizara hiyohiyo, kibao kilipogeuka askari wale wale wakawa wanampiga mabomu kila kukicha. Angemuuliza hata Lau Masha ampe uzoefu jinsi polisi walivyomgeuka baada ya madaraka kuyeyuka, walimpiga 'tanganyika jeki' kama kibaka.Huyo lugola kwa jinsi alivyokuwa anawanyanyasa Polisi Haki ya Mungu hata akiwa barabarani na gari lake watamuuliza helmet iko wapi na kama hana na lockup watamuweka,cheo dhamana ya muda tu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Alisha fariki
Wenzetu wangesema "Mhe. Rais amemfuta kazi aliyekuwa Waziri wa Mambo ya Ndani".Waziri aliyefurushwa
Askari huwa na visasi sana. Aome asiingie anga zao na hii issue isiende zaidi ya hapoPolisi walupo watafanya sherehe, aliwanyanyasa sana ma RPC, RTO NK
Sent using Jamii Forums mobile app
Hana alifariki, miaka si mingi