Mtumishi Mkuu
JF-Expert Member
- Mar 31, 2011
- 259
- 92
Katibu mkuu wizara ya ardhi, nyumba na maendeleo ya makazi Patrick Rutabanzibwa amehukumiwa kwenda jela kwa muda wa miezi 6 au kulipa faini ya sh 500,000 kwa kosa la kudharau amri ya mahakama!
Source: Michuzi Blog.
My take: Huyu bwana anafahamika kwa historia yake, what is laki tano kwake? Hizi sheria zetu kweli zinakidhi haja. Is it worth to what he has actually done?
Source: Michuzi Blog.
My take: Huyu bwana anafahamika kwa historia yake, what is laki tano kwake? Hizi sheria zetu kweli zinakidhi haja. Is it worth to what he has actually done?