Katibu mkuu wa UVCCM Taifa azindua Vijana Jogging club aliyoianzisha mkoani Dodoma

Stephano Mgendanyi

JF-Expert Member
May 16, 2020
1,781
898


KATIBU MKUU WA UVCCM TAIFA AZINDUA VIJANA JOGGING CLUB ALIYOIANZISHA MKOANI DODOMA.

31.07.2021

Katibu mkuu wa Uvccm Taifa Ndugu Kenani Kihongosi amezindua rasmi VIJANA JOGGING CLUB MKOANI DODOMA.

Amelekeza Mikoa yote kuwa na Vikundi Vya JOGGING VYA VIJANA lengo ikiwa kulinda afya pamoja na kudumisha Umoja na mshikamano katika Nchi yetu Pia kuepula maradhi mbali mbali.

Katibu mkuu amewasisitiza vijana na wananchi waliojitokeza katika mazoezi kuzidi kuunga mkono jitihada za serikali ya Awamu ya Sita Inayoongozwa na Rais shupavu Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan katika mapambano dhidi ya UVIKO 19 pamoja na *shughuli za maendeleo.

Katibu mkuu amesema serikali Inayoongozwa na Rais Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan imedhamiria kufanya *mapinduzi makubwa ya kiuchumi na inaendelea kuleta maendeleo makubwa ambayo yatawagusa vijana na wananchi kwa ujumla hivyo lazima vijana washiriki katika kufanya kazi, Kulinda Amani pamoja na kukuza uchumi wa Taifa

Katika uzinduzi huo katibu Mkuu aliambatana na Mbunge wa jimbo la dodoma Mheshimiwa Anthony Mavunde, Katibu wa CCM mkoa wa Dodoma Ndugu Pili August in,Mwenyekiti wa Uvccm Mkoa wa Dodoma Ndugu Billy Chidabwa,Mwenyekiti wa uvccm wilaya ya Dodoma mjini Kasote Jumanne pamoja na Hassan Kadoke pamoja na wajumbe wa baraza mkoa wa dodoma.

Mwisho, amewataka wananchi kulinda amani pamoja na kuheshimu viongozi katika maeneo yao kwani uzalendo wa kweli ni kulinda Taifa lako.

#AmaniYetuMaishaYetu
#KaziIendelee
#MtumishiWaWote

IMG-20210731-WA0025.jpg


IMG-20210731-WA0023.jpg


IMG-20210731-WA0026.jpg


IMG-20210731-WA0022.jpg


IMG-20210731-WA0027.jpg
 
KATIBU MKUU WA UVCCM TAIFA AZINDUA VIJANA JOGGING CLUB ALIYOIANZISHA MKOANI DODOMA

31.07.2021

Katibu mkuu wa Uvccm Taifa Ndugu Kenani Kihongosi amezindua rasmi VIJANA JOGGING CLUB MKOANI DODOMA.

Amelekeza Mikoa yote kuwa na Vikundi Vya JOGGING VYA VIJANA lengo ikiwa kulinda afya pamoja na kudumisha Umoja na mshikamano katika Nchi yetu Pia kuepula maradhi mbali mbali.

Katibu mkuu amewasisitiza vijana na wananchi waliojitokeza katika mazoezi kuzidi *kuunga mkono jitihada za serikali ya Awamu ya Sita Inayoongozwa na Rais shupavu Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan katika mapambano dhidi ya UVIKO 19 pamoja na shughuli za maendeleo.

Katibu mkuu amesema serikali Inayoongozwa na Rais Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan imedhamiria kufanya mapinduzi makubwa ya kiuchumi na inaendelea kuleta maendeleo makubwa ambayo yatawagusa vijana na wananchi kwa ujumla hivyo lazima vijana washiriki katika kufanya kazi, Kulinda Amani pamoja na kukuza uchumi wa Taifa

Katika uzinduzi huo katibu Mkuu aliambatana na Mbunge wa jimbo la dodoma Mheshimiwa Anthony Mavunde, Katibu wa CCM mkoa wa Dodoma Ndugu Pili August in,Mwenyekiti wa Uvccm Mkoa wa Dodoma Ndugu Billy Chidabwa,Mwenyekiti wa uvccm wilaya ya Dodoma mjini Kasote Jumanne pamoja na Hassan Kadoke pamoja na wajumbe wa baraza mkoa wa dodoma

Mwisho amewataka wananchi kulinda amani pamoja na kuheshimu viongozi katika maeneo yao kwani uzalendo wa kweli ni kulinda Taifa lako.

#AmaniYetuMaishaYetu
#KaziIendelee
#MtumishiWaWote
IMG-20210731-WA0023.jpg
IMG-20210731-WA0026.jpg
IMG-20210731-WA0025.jpg
 
Sawa sawa , sie watz tunakuja na mazoezi ya kutembea km 1-3 KILA jmosi kuanzia kwenye mitaa yetu Nchi NZIMA mazoezi ni afya
 
Wanauza maeneo ya wazi yanayotumika kwa michezo kisha wanataka kuanzisha matembezi kwa afya.
 
Corona mbaya,tulishatangaziwa kuwa mikusanyiko isiyo ya lazima.mazoezi si kila mtu aweza Fanya kwa wakati wake
Acha watu wafanye mazoezi KWa pamoja yawe ya kutembea au kukimbia , mazoezi ya pamoja yana raha yake , mazoezi ni afya ,watz tuamuke sasa
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom