jogi
JF-Expert Member
- Sep 25, 2010
- 25,558
- 25,322
Habari za uhakika kutoka manyoni zinatonya kuwa katibu mkuu wa umoja wa vijana wa ccm (uvccm) ndugu shigela amefanya mkutano wa hadhara eneo la majengo mjini manyoni, mkutano huo umehudhuriwa na wananchi wachache sana, kwa uhakika hawakufika mia moja (100) kwa kukadiria hawakuvuka hamsini (50)
Akiwahutubia wananchi hao kiduchu, amedai kuwa eti chadema kule arumeru mashariki waliahidi majukwaani, watafanya mauaji, na sasa wanatekeleza, akirejea mauaji ya vijana kule arumeru pamoja na mwenyekiti wa chadema usa river, amewaambia wasikilizaji hao kiduchu kuwa eti chadema ni chama cha kikanda, kikabila na kinakumbatia udini!!!!!
hapo awali aliahidi kutoa kadi kwa wanachama wapya mia moja na ushee, muda wa kutoa kadi ulipowadia walitokea wananchi wanne (4) tu, jambo lililomsuta machoni kwa uongo.
pitapita ya shushu mtaifa iliwakuta wananchi mara baada ya mkutano kuisha majira ya saa tisa na ushee wakilalamikia maneno ya shigela kuwa ni ya uchochezi, wakikazia ufahamu wao walihoji, Profesor Abdalah Safari na usomi wake angewezaje kujiunga na chadema kama mfumo wao na sera zao ni za kidini? hata hivyo vijana miongoni mwao wameahidi kumjibu kwa vitendo pindi chadema wakifanya mkutano wao mjini hapo.
My take:
ccm wanadhani hii ni karata muhimu kwao kuwaogofya wananchi. ndio maana jumuiya zao zote zina haha nchi nzima kujaribu karata hii. Mwisho wa kubweka kwao naamini wataishauri cc ya chama chao kwa usahihi ya kuwa hawakubalikiiiiiii.
msiulize sorce, kwani si busara muulizapo kwa uzi huu.
KAMA VIPI NAPE AJE KUKANUSHA!!!!!!
Akiwahutubia wananchi hao kiduchu, amedai kuwa eti chadema kule arumeru mashariki waliahidi majukwaani, watafanya mauaji, na sasa wanatekeleza, akirejea mauaji ya vijana kule arumeru pamoja na mwenyekiti wa chadema usa river, amewaambia wasikilizaji hao kiduchu kuwa eti chadema ni chama cha kikanda, kikabila na kinakumbatia udini!!!!!
hapo awali aliahidi kutoa kadi kwa wanachama wapya mia moja na ushee, muda wa kutoa kadi ulipowadia walitokea wananchi wanne (4) tu, jambo lililomsuta machoni kwa uongo.
pitapita ya shushu mtaifa iliwakuta wananchi mara baada ya mkutano kuisha majira ya saa tisa na ushee wakilalamikia maneno ya shigela kuwa ni ya uchochezi, wakikazia ufahamu wao walihoji, Profesor Abdalah Safari na usomi wake angewezaje kujiunga na chadema kama mfumo wao na sera zao ni za kidini? hata hivyo vijana miongoni mwao wameahidi kumjibu kwa vitendo pindi chadema wakifanya mkutano wao mjini hapo.
My take:
ccm wanadhani hii ni karata muhimu kwao kuwaogofya wananchi. ndio maana jumuiya zao zote zina haha nchi nzima kujaribu karata hii. Mwisho wa kubweka kwao naamini wataishauri cc ya chama chao kwa usahihi ya kuwa hawakubalikiiiiiii.
msiulize sorce, kwani si busara muulizapo kwa uzi huu.
KAMA VIPI NAPE AJE KUKANUSHA!!!!!!