JokaKuu
Platinum Member
- Jul 31, 2006
- 30,442
- 55,017
Haitatokea.....
Kuiandika katiba yetu kuwa ni ya UCHUMI WA KIBEPARI ni sawa na kusaliti JUHUDI ZA WAZEE WETU kulipambania taifa hili toka Vita vya majimaji na vinginevyo.....
Kusema kuwa JMT ni ya kibepari ni sawa na KUINAJISI HISTORIA YA SERIKALI ZETU MBILI.....
Hilo halitokaa litokee.....
..CCM ndio mnaonajisi nchi kwa kulaghai kwamba ni ya kijamaa huku mkienenda kibepari.