Katibu Mkuu wa UVCCM Kenani Kihongosi akiongea na Wanahabari Agosti 03, 2021

Haitatokea.....

Kuiandika katiba yetu kuwa ni ya UCHUMI WA KIBEPARI ni sawa na kusaliti JUHUDI ZA WAZEE WETU kulipambania taifa hili toka Vita vya majimaji na vinginevyo.....

Kusema kuwa JMT ni ya kibepari ni sawa na KUINAJISI HISTORIA YA SERIKALI ZETU MBILI.....

Hilo halitokaa litokee.....

..CCM ndio mnaonajisi nchi kwa kulaghai kwamba ni ya kijamaa huku mkienenda kibepari.
 
CCM bila Polisi hamna chama hapo. Yaani Siro ndio tegemeo la CCM. Anaupiga mwingi na uzee wake utakuwa sio mwema kwa uonevu.

Siro, kama walivyo wakuu wengine wa vyombo vya ulinzi na usalama, ni tegemeo la taifa zima!
 


ALIYOYAZUNGUMZA KATIBU MKUU WA UVCCM NDUGU KENANI KIHONGOSI AKIONGEA NA WANAHABARI AGOSTI 03, 2021.

Katibu Mkuu wa Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Ndugu Kenani Kihongosi alianza kwa kumshukuru Mwenyezimungu na kutoa salamu za pole kwa Rais wa Tanzania na Mwenyekiti wa CCM Mhe. Samia Suluhu Hassan pamoja na Mkuu wa Majeshi ya ulinzi na usalama Jenerali Venance Mabeyo kufuatia kifo cha Waziri wa Ulinzi na Jeshi la kujenga Taifa Mhe Elias John Kwandikwa.

Ndugu Kihongosi akampongeza Mhe Samia Suluhu Hassan kwa namna anavyoendelea kupambana vizuri na janga la Corona lililoikumba dunia nzima ikiwemo uamuzi wake wa kutoa chanjo za kujikinga na Corona na kuhamasisha wananchi kuendelea kuchukua tahadhari na kumhakikishia Mhe Rais Samia kwamba wao kama vijana wako pamoja nae katika harakati zake zote za kulinda afya za Watanzania.

Ndugu Kihongosi alitumia mkutano huo pia kumshukuru Rais Samia kwa namna anavyoendelea kuwaamini vijana na kuwateua kwenye nafasi mbalimbali za uongozi na kueleza kwamba wanaamini vijana watakwenda kufanya kazi iliyotukuka na kulinda imani ya Mhe Rais kwao.

Ndugu Kihongosi akaingia kwenye kiini cha Mkutano wake huo kwa kuanza kueleza kusikitishwa kwao kama Umoja wa Vijana wa CCM na kitendo cha vijana wa Baraza la Vijana la CHADEMA (BAVICHA) kuhamasishana kwenda mahakamani Tarehe 05/08/2021 wakaishinikize mahakama imfutie kesi Mwenyekiti wao Freeman Mbowe huku wakijua kitendo hicho ni kinyume na sheria.

Kihongosi aliwaeleza vijana wa CHADEMA kwamba nchi hii inaongozwa na Katiba na sheria za nchi na mambo yote yako kisheria hivyo wanapoingilia uhuru wa mahakama basi wajue wanavunja sheria za nchi huku akiwashangaa kwamba kama wao wanajipambanua wanataka demokrasia, wanataka mahakama iwe huru na ifanye kazi zake bila kuingiliwa, sasa inashangaza wao hao hao wanaita Waandishi na kuwahamasisha vijana wakaishinikize mahakama imfutie kesi Mbowe, wao hawana mamlaka hayo na kila muhimili unafanya kazi zake sasa wanapotaka kuingilia uhuru wa mahakama maana yake wanaingilia uhuru wa sheria zetu jambo ambalo halikubaliki.

Katibu Kihongosi akawaeleza vijana wa BAVICHA na Mwenyekiti wake (John Pambalu) kwamba wana wajibu wa kutii sheria na si kuwataka vijana kwenda mahakama kushinikiza mahakama.

Akawashangaa BAVICHA kutaka Mbowe afutiwe mashtaka wakati mahakama wala wao hawajajiridhisha kama Mbowe hana hatia? Kihongosi akawatolea mfano CHADEMA ambao juzi hapa baada ya Sabaya kupelekwa mahakamani walishangilia kwamba mahakama inatenda haki lakini leo wanageuka na kudai mahakama haiko huru. Kesi iko mahakamani halafu wewe unataka kushinikiza ifutwe, huo ni utovu wa nidhamu na Katibu Kihongosi akawataka kuheshimu sheria za nchi na kuacha mambo ya kitoto na siasa ambazo zimekosa hoja.

Kihongosi alisema inashangaza Ndugu Pambalu (Mwenyekiti wa BAVICHA) anasimama na kusema anamtaka Rais, hakuna mtu anayeweza kumtaka Rais, Rais yuko pale kisheria na anafanya kazi kwa miongozo iliyopo kisheria. Katibu Kenani aliwapa somo vijana wa BAVICHA. Rais ameshatoa msimamo kuhusu suala la Katiba, Rais kwasasa ana kazi kubwa ya kupeleka maendeleo kukuza uchumi kwa Watanzania nchi nzima, Rais ana wajibu wa kutimiza matakwa kwa Watanzania na sio hoja za mtu mmoja mmoja na wasaka vyeo.

Ndugu Kihongosi aliwashangaa vijana wa BAVICHA kudai Mbowe anaonewa bila ya kuwa na uthibitisho wowote. Akawataka kuviacha vyombo vya ulinzi na usalama kufanya kazi yake na kuacha kutweza jeshi la polisi, kudhalilisha mamlaka za vyombo vyetu vya ulinzi na usalama, jambo ambalo halikubaliki kwasababu hata hiyo amani ambayo wao wanaiona imesimamiwa na hilohilo Jeshi la polisi.

Ndugu Kenani alimtaka Pambalu kuomba radhi kwa kitendo chake cha kudhalilisha Jeshi la polisi na kumtaka kuliheshimu kwani ndilo ambalo limekuwa likimlinda yeye na familia yake akiwa amelala wakati Jeshi letu likiwa macho kulinda amani.

Aliwataka vijana wa CHADEMA kuacha kutumia ajenda ya Katiba kufanya uhalifu kwenye nchi yetu na kuwataka Watanzania kumpuuza Pambalu ambaye anataka kuharibu amani ya nchi yetu. Kihongosi aliwataka vijana kuendelea kutafuta kipato cha familia zao siku ya Tarehe 5 na kuacha kujiingiza kwenye migogoro ya kupambana na Serikali ambayo haiwezi kuongeza pato la nchi hii. Wanasiasa hawa wamesababisha matatizo kwa familia mbalimbali kama pale Arusha mtu alipata matatizo kwasababu ya hawa wanasiasa wa upinzani lakini wanasiasa hawa wanaendelea kudunda kila siku wakati wengine waliowahamisha vurugu wameumia na kuwataka vijana kukataa kutumika na wanasiasa walafi na waroho wa madaraka.

Ni lazima wananchi waendelee kutii mihimili ya nchi yetu na kuacha kutumika na wanasiasa ambao hawana cha kupoteza kwasababu wakiharibu hapa wanaweza kukimbilia nje ya nchi na wengine tunawaona wako huko Ulaya. Akili za kuambiwa changanya na zako na kutokubali kuingia kwenye mikumbo isiyo na tija kwa nchi.

Viongozi wa CHADEMA wana jukumu la kuwafunda vijana wao kuwa na adabu kwa mamlaka lakini wajue wanayoyafanya hakuna Mtanzania anawaunga mkono kwasababu kila wanapoitisha maandamano Watanzania wamekuwa wakiwapuuza.

Katibu alimaliza kwa kueleza vijana wa CCM wataendelea kuiunga mkono Serikali na kuwa mstari wa mbele kulinda amani ya nchi na kuwaeleza Watanzania kulinda umoja wetu. Wanasiasa wa upinzani wajifunze kwamba Watanzania hawashawishiki na siasa zao za chuki na uzandiki na ndio maana mara zote walipoanzisha kampeni za kuvunja amani na sheria hawajawahi kuungwa mkono na Watanzania. Wajishtukie. Mfano kwenye Ukuta, maandamano yao baada ya kushindwa uchaguzi mwaka jana hakuna aliyewaunga mkono.

Upinzani ujifunze kuridhika pale wanaposhindwa na sio kuilamu CCM ikishindwa kwasababu asiyekubali kushindwa si mshindani na wawe Mabalozi wa amani yetu. Toka Rais Samia aingie madarakani, ameendelea kuhamasisha siasa za upendo, umoja wa Kitaifa na zinazopeleka maendeleo kwa watu, cha ajabu wenzetu wa upinzani kutwa wamejizatiti kuhamasisha vurugu, uhasama na kuchonganisha wananchi na Serikali yao. Hili pekee linawafedhehesha na kuwaonyesha nia yao ovu kwa nchi hii.

Katibu Mkuu Kihongosi akamaliza kwa kuwataka wananchi kuendelea na shughuli zao za uzalishaji siku ya tarehe 05/08/2021 ambapo vijana wa CHADEMA wamepanga kwenda mahakamani kushinikiza mahakama imuachia Mwenyekiti wao basi watu wawapuuze na polisi wafanye kazi yao.

#MtumishiWaWote
#KaziIendelee
#TaifaKwanza

View attachment 1879128

View attachment 1879129

View attachment 1879131

View attachment 1879132

View attachment 1879134

View attachment 1879135

View attachment 1879136

View attachment 1879137
Ccm KWa Sasa wasitupangie Cha kufanya wao Wana dola sisi tuna Mungu , atatuongoza kufika tunapopataka hatatuacha tukiwa wakiwa ndani ya Nchi yetu,

Katiba INAKUJA, haki Katika taifa INAKUJA hakuna wa kuzuia asema BWANA kwenye usiku huu wa maombi ya Taifa langu,
 


ALIYOYAZUNGUMZA KATIBU MKUU WA UVCCM NDUGU KENANI KIHONGOSI AKIONGEA NA WANAHABARI AGOSTI 03, 2021.

Katibu Mkuu wa Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Ndugu Kenani Kihongosi alianza kwa kumshukuru Mwenyezimungu na kutoa salamu za pole kwa Rais wa Tanzania na Mwenyekiti wa CCM Mhe. Samia Suluhu Hassan pamoja na Mkuu wa Majeshi ya ulinzi na usalama Jenerali Venance Mabeyo kufuatia kifo cha Waziri wa Ulinzi na Jeshi la kujenga Taifa Mhe Elias John Kwandikwa.

Ndugu Kihongosi akampongeza Mhe Samia Suluhu Hassan kwa namna anavyoendelea kupambana vizuri na janga la Corona lililoikumba dunia nzima ikiwemo uamuzi wake wa kutoa chanjo za kujikinga na Corona na kuhamasisha wananchi kuendelea kuchukua tahadhari na kumhakikishia Mhe Rais Samia kwamba wao kama vijana wako pamoja nae katika harakati zake zote za kulinda afya za Watanzania.

Ndugu Kihongosi alitumia mkutano huo pia kumshukuru Rais Samia kwa namna anavyoendelea kuwaamini vijana na kuwateua kwenye nafasi mbalimbali za uongozi na kueleza kwamba wanaamini vijana watakwenda kufanya kazi iliyotukuka na kulinda imani ya Mhe Rais kwao.

Ndugu Kihongosi akaingia kwenye kiini cha Mkutano wake huo kwa kuanza kueleza kusikitishwa kwao kama Umoja wa Vijana wa CCM na kitendo cha vijana wa Baraza la Vijana la CHADEMA (BAVICHA) kuhamasishana kwenda mahakamani Tarehe 05/08/2021 wakaishinikize mahakama imfutie kesi Mwenyekiti wao Freeman Mbowe huku wakijua kitendo hicho ni kinyume na sheria.

Kihongosi aliwaeleza vijana wa CHADEMA kwamba nchi hii inaongozwa na Katiba na sheria za nchi na mambo yote yako kisheria hivyo wanapoingilia uhuru wa mahakama basi wajue wanavunja sheria za nchi huku akiwashangaa kwamba kama wao wanajipambanua wanataka demokrasia, wanataka mahakama iwe huru na ifanye kazi zake bila kuingiliwa, sasa inashangaza wao hao hao wanaita Waandishi na kuwahamasisha vijana wakaishinikize mahakama imfutie kesi Mbowe, wao hawana mamlaka hayo na kila muhimili unafanya kazi zake sasa wanapotaka kuingilia uhuru wa mahakama maana yake wanaingilia uhuru wa sheria zetu jambo ambalo halikubaliki.

Katibu Kihongosi akawaeleza vijana wa BAVICHA na Mwenyekiti wake (John Pambalu) kwamba wana wajibu wa kutii sheria na si kuwataka vijana kwenda mahakama kushinikiza mahakama.

Akawashangaa BAVICHA kutaka Mbowe afutiwe mashtaka wakati mahakama wala wao hawajajiridhisha kama Mbowe hana hatia? Kihongosi akawatolea mfano CHADEMA ambao juzi hapa baada ya Sabaya kupelekwa mahakamani walishangilia kwamba mahakama inatenda haki lakini leo wanageuka na kudai mahakama haiko huru. Kesi iko mahakamani halafu wewe unataka kushinikiza ifutwe, huo ni utovu wa nidhamu na Katibu Kihongosi akawataka kuheshimu sheria za nchi na kuacha mambo ya kitoto na siasa ambazo zimekosa hoja.

Kihongosi alisema inashangaza Ndugu Pambalu (Mwenyekiti wa BAVICHA) anasimama na kusema anamtaka Rais, hakuna mtu anayeweza kumtaka Rais, Rais yuko pale kisheria na anafanya kazi kwa miongozo iliyopo kisheria. Katibu Kenani aliwapa somo vijana wa BAVICHA. Rais ameshatoa msimamo kuhusu suala la Katiba, Rais kwasasa ana kazi kubwa ya kupeleka maendeleo kukuza uchumi kwa Watanzania nchi nzima, Rais ana wajibu wa kutimiza matakwa kwa Watanzania na sio hoja za mtu mmoja mmoja na wasaka vyeo.

Ndugu Kihongosi aliwashangaa vijana wa BAVICHA kudai Mbowe anaonewa bila ya kuwa na uthibitisho wowote. Akawataka kuviacha vyombo vya ulinzi na usalama kufanya kazi yake na kuacha kutweza jeshi la polisi, kudhalilisha mamlaka za vyombo vyetu vya ulinzi na usalama, jambo ambalo halikubaliki kwasababu hata hiyo amani ambayo wao wanaiona imesimamiwa na hilohilo Jeshi la polisi.

Ndugu Kenani alimtaka Pambalu kuomba radhi kwa kitendo chake cha kudhalilisha Jeshi la polisi na kumtaka kuliheshimu kwani ndilo ambalo limekuwa likimlinda yeye na familia yake akiwa amelala wakati Jeshi letu likiwa macho kulinda amani.

Aliwataka vijana wa CHADEMA kuacha kutumia ajenda ya Katiba kufanya uhalifu kwenye nchi yetu na kuwataka Watanzania kumpuuza Pambalu ambaye anataka kuharibu amani ya nchi yetu. Kihongosi aliwataka vijana kuendelea kutafuta kipato cha familia zao siku ya Tarehe 5 na kuacha kujiingiza kwenye migogoro ya kupambana na Serikali ambayo haiwezi kuongeza pato la nchi hii. Wanasiasa hawa wamesababisha matatizo kwa familia mbalimbali kama pale Arusha mtu alipata matatizo kwasababu ya hawa wanasiasa wa upinzani lakini wanasiasa hawa wanaendelea kudunda kila siku wakati wengine waliowahamisha vurugu wameumia na kuwataka vijana kukataa kutumika na wanasiasa walafi na waroho wa madaraka.

Ni lazima wananchi waendelee kutii mihimili ya nchi yetu na kuacha kutumika na wanasiasa ambao hawana cha kupoteza kwasababu wakiharibu hapa wanaweza kukimbilia nje ya nchi na wengine tunawaona wako huko Ulaya. Akili za kuambiwa changanya na zako na kutokubali kuingia kwenye mikumbo isiyo na tija kwa nchi.

Viongozi wa CHADEMA wana jukumu la kuwafunda vijana wao kuwa na adabu kwa mamlaka lakini wajue wanayoyafanya hakuna Mtanzania anawaunga mkono kwasababu kila wanapoitisha maandamano Watanzania wamekuwa wakiwapuuza.

Katibu alimaliza kwa kueleza vijana wa CCM wataendelea kuiunga mkono Serikali na kuwa mstari wa mbele kulinda amani ya nchi na kuwaeleza Watanzania kulinda umoja wetu. Wanasiasa wa upinzani wajifunze kwamba Watanzania hawashawishiki na siasa zao za chuki na uzandiki na ndio maana mara zote walipoanzisha kampeni za kuvunja amani na sheria hawajawahi kuungwa mkono na Watanzania. Wajishtukie. Mfano kwenye Ukuta, maandamano yao baada ya kushindwa uchaguzi mwaka jana hakuna aliyewaunga mkono.

Upinzani ujifunze kuridhika pale wanaposhindwa na sio kuilamu CCM ikishindwa kwasababu asiyekubali kushindwa si mshindani na wawe Mabalozi wa amani yetu. Toka Rais Samia aingie madarakani, ameendelea kuhamasisha siasa za upendo, umoja wa Kitaifa na zinazopeleka maendeleo kwa watu, cha ajabu wenzetu wa upinzani kutwa wamejizatiti kuhamasisha vurugu, uhasama na kuchonganisha wananchi na Serikali yao. Hili pekee linawafedhehesha na kuwaonyesha nia yao ovu kwa nchi hii.

Katibu Mkuu Kihongosi akamaliza kwa kuwataka wananchi kuendelea na shughuli zao za uzalishaji siku ya tarehe 05/08/2021 ambapo vijana wa CHADEMA wamepanga kwenda mahakamani kushinikiza mahakama imuachia Mwenyekiti wao basi watu wawapuuze na polisi wafanye kazi yao.

#MtumishiWaWote
#KaziIendelee
#TaifaKwanza

View attachment 1879128

View attachment 1879129

View attachment 1879131

View attachment 1879132

View attachment 1879134

View attachment 1879135

View attachment 1879136

View attachment 1879137
Huyu mbwa mpuuzi ambaye juzi Tu amechapa watu viboko akitumia UDC ndiye anajimbanua kuwa Malika CCM A BUNCH OF DEVILS
 


ALIYOYAZUNGUMZA KATIBU MKUU WA UVCCM NDUGU KENANI KIHONGOSI AKIONGEA NA WANAHABARI AGOSTI 03, 2021.

Katibu Mkuu wa Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Ndugu Kenani Kihongosi alianza kwa kumshukuru Mwenyezimungu na kutoa salamu za pole kwa Rais wa Tanzania na Mwenyekiti wa CCM Mhe. Samia Suluhu Hassan pamoja na Mkuu wa Majeshi ya ulinzi na usalama Jenerali Venance Mabeyo kufuatia kifo cha Waziri wa Ulinzi na Jeshi la kujenga Taifa Mhe Elias John Kwandikwa.

Ndugu Kihongosi akampongeza Mhe Samia Suluhu Hassan kwa namna anavyoendelea kupambana vizuri na janga la Corona lililoikumba dunia nzima ikiwemo uamuzi wake wa kutoa chanjo za kujikinga na Corona na kuhamasisha wananchi kuendelea kuchukua tahadhari na kumhakikishia Mhe Rais Samia kwamba wao kama vijana wako pamoja nae katika harakati zake zote za kulinda afya za Watanzania.

Ndugu Kihongosi alitumia mkutano huo pia kumshukuru Rais Samia kwa namna anavyoendelea kuwaamini vijana na kuwateua kwenye nafasi mbalimbali za uongozi na kueleza kwamba wanaamini vijana watakwenda kufanya kazi iliyotukuka na kulinda imani ya Mhe Rais kwao.

Ndugu Kihongosi akaingia kwenye kiini cha Mkutano wake huo kwa kuanza kueleza kusikitishwa kwao kama Umoja wa Vijana wa CCM na kitendo cha vijana wa Baraza la Vijana la CHADEMA (BAVICHA) kuhamasishana kwenda mahakamani Tarehe 05/08/2021 wakaishinikize mahakama imfutie kesi Mwenyekiti wao Freeman Mbowe huku wakijua kitendo hicho ni kinyume na sheria.

Kihongosi aliwaeleza vijana wa CHADEMA kwamba nchi hii inaongozwa na Katiba na sheria za nchi na mambo yote yako kisheria hivyo wanapoingilia uhuru wa mahakama basi wajue wanavunja sheria za nchi huku akiwashangaa kwamba kama wao wanajipambanua wanataka demokrasia, wanataka mahakama iwe huru na ifanye kazi zake bila kuingiliwa, sasa inashangaza wao hao hao wanaita Waandishi na kuwahamasisha vijana wakaishinikize mahakama imfutie kesi Mbowe, wao hawana mamlaka hayo na kila muhimili unafanya kazi zake sasa wanapotaka kuingilia uhuru wa mahakama maana yake wanaingilia uhuru wa sheria zetu jambo ambalo halikubaliki.

Katibu Kihongosi akawaeleza vijana wa BAVICHA na Mwenyekiti wake (John Pambalu) kwamba wana wajibu wa kutii sheria na si kuwataka vijana kwenda mahakama kushinikiza mahakama.

Akawashangaa BAVICHA kutaka Mbowe afutiwe mashtaka wakati mahakama wala wao hawajajiridhisha kama Mbowe hana hatia? Kihongosi akawatolea mfano CHADEMA ambao juzi hapa baada ya Sabaya kupelekwa mahakamani walishangilia kwamba mahakama inatenda haki lakini leo wanageuka na kudai mahakama haiko huru. Kesi iko mahakamani halafu wewe unataka kushinikiza ifutwe, huo ni utovu wa nidhamu na Katibu Kihongosi akawataka kuheshimu sheria za nchi na kuacha mambo ya kitoto na siasa ambazo zimekosa hoja.

Kihongosi alisema inashangaza Ndugu Pambalu (Mwenyekiti wa BAVICHA) anasimama na kusema anamtaka Rais, hakuna mtu anayeweza kumtaka Rais, Rais yuko pale kisheria na anafanya kazi kwa miongozo iliyopo kisheria. Katibu Kenani aliwapa somo vijana wa BAVICHA. Rais ameshatoa msimamo kuhusu suala la Katiba, Rais kwasasa ana kazi kubwa ya kupeleka maendeleo kukuza uchumi kwa Watanzania nchi nzima, Rais ana wajibu wa kutimiza matakwa kwa Watanzania na sio hoja za mtu mmoja mmoja na wasaka vyeo.

Ndugu Kihongosi aliwashangaa vijana wa BAVICHA kudai Mbowe anaonewa bila ya kuwa na uthibitisho wowote. Akawataka kuviacha vyombo vya ulinzi na usalama kufanya kazi yake na kuacha kutweza jeshi la polisi, kudhalilisha mamlaka za vyombo vyetu vya ulinzi na usalama, jambo ambalo halikubaliki kwasababu hata hiyo amani ambayo wao wanaiona imesimamiwa na hilohilo Jeshi la polisi.

Ndugu Kenani alimtaka Pambalu kuomba radhi kwa kitendo chake cha kudhalilisha Jeshi la polisi na kumtaka kuliheshimu kwani ndilo ambalo limekuwa likimlinda yeye na familia yake akiwa amelala wakati Jeshi letu likiwa macho kulinda amani.

Aliwataka vijana wa CHADEMA kuacha kutumia ajenda ya Katiba kufanya uhalifu kwenye nchi yetu na kuwataka Watanzania kumpuuza Pambalu ambaye anataka kuharibu amani ya nchi yetu. Kihongosi aliwataka vijana kuendelea kutafuta kipato cha familia zao siku ya Tarehe 5 na kuacha kujiingiza kwenye migogoro ya kupambana na Serikali ambayo haiwezi kuongeza pato la nchi hii. Wanasiasa hawa wamesababisha matatizo kwa familia mbalimbali kama pale Arusha mtu alipata matatizo kwasababu ya hawa wanasiasa wa upinzani lakini wanasiasa hawa wanaendelea kudunda kila siku wakati wengine waliowahamisha vurugu wameumia na kuwataka vijana kukataa kutumika na wanasiasa walafi na waroho wa madaraka.

Ni lazima wananchi waendelee kutii mihimili ya nchi yetu na kuacha kutumika na wanasiasa ambao hawana cha kupoteza kwasababu wakiharibu hapa wanaweza kukimbilia nje ya nchi na wengine tunawaona wako huko Ulaya. Akili za kuambiwa changanya na zako na kutokubali kuingia kwenye mikumbo isiyo na tija kwa nchi.

Viongozi wa CHADEMA wana jukumu la kuwafunda vijana wao kuwa na adabu kwa mamlaka lakini wajue wanayoyafanya hakuna Mtanzania anawaunga mkono kwasababu kila wanapoitisha maandamano Watanzania wamekuwa wakiwapuuza.

Katibu alimaliza kwa kueleza vijana wa CCM wataendelea kuiunga mkono Serikali na kuwa mstari wa mbele kulinda amani ya nchi na kuwaeleza Watanzania kulinda umoja wetu. Wanasiasa wa upinzani wajifunze kwamba Watanzania hawashawishiki na siasa zao za chuki na uzandiki na ndio maana mara zote walipoanzisha kampeni za kuvunja amani na sheria hawajawahi kuungwa mkono na Watanzania. Wajishtukie. Mfano kwenye Ukuta, maandamano yao baada ya kushindwa uchaguzi mwaka jana hakuna aliyewaunga mkono.

Upinzani ujifunze kuridhika pale wanaposhindwa na sio kuilamu CCM ikishindwa kwasababu asiyekubali kushindwa si mshindani na wawe Mabalozi wa amani yetu. Toka Rais Samia aingie madarakani, ameendelea kuhamasisha siasa za upendo, umoja wa Kitaifa na zinazopeleka maendeleo kwa watu, cha ajabu wenzetu wa upinzani kutwa wamejizatiti kuhamasisha vurugu, uhasama na kuchonganisha wananchi na Serikali yao. Hili pekee linawafedhehesha na kuwaonyesha nia yao ovu kwa nchi hii.

Katibu Mkuu Kihongosi akamaliza kwa kuwataka wananchi kuendelea na shughuli zao za uzalishaji siku ya tarehe 05/08/2021 ambapo vijana wa CHADEMA wamepanga kwenda mahakamani kushinikiza mahakama imuachia Mwenyekiti wao basi watu wawapuuze na polisi wafanye kazi yao.

#MtumishiWaWote
#KaziIendelee
#TaifaKwanza

View attachment 1879128

View attachment 1879129

View attachment 1879131

View attachment 1879132

View attachment 1879134

View attachment 1879135

View attachment 1879136

View attachment 1879137


ALIYOYAZUNGUMZA KATIBU MKUU WA UVCCM NDUGU KENANI KIHONGOSI AKIONGEA NA WANAHABARI AGOSTI 03, 2021.

Katibu Mkuu wa Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Ndugu Kenani Kihongosi alianza kwa kumshukuru Mwenyezimungu na kutoa salamu za pole kwa Rais wa Tanzania na Mwenyekiti wa CCM Mhe. Samia Suluhu Hassan pamoja na Mkuu wa Majeshi ya ulinzi na usalama Jenerali Venance Mabeyo kufuatia kifo cha Waziri wa Ulinzi na Jeshi la kujenga Taifa Mhe Elias John Kwandikwa.

Ndugu Kihongosi akampongeza Mhe Samia Suluhu Hassan kwa namna anavyoendelea kupambana vizuri na janga la Corona lililoikumba dunia nzima ikiwemo uamuzi wake wa kutoa chanjo za kujikinga na Corona na kuhamasisha wananchi kuendelea kuchukua tahadhari na kumhakikishia Mhe Rais Samia kwamba wao kama vijana wako pamoja nae katika harakati zake zote za kulinda afya za Watanzania.

Ndugu Kihongosi alitumia mkutano huo pia kumshukuru Rais Samia kwa namna anavyoendelea kuwaamini vijana na kuwateua kwenye nafasi mbalimbali za uongozi na kueleza kwamba wanaamini vijana watakwenda kufanya kazi iliyotukuka na kulinda imani ya Mhe Rais kwao.

Ndugu Kihongosi akaingia kwenye kiini cha Mkutano wake huo kwa kuanza kueleza kusikitishwa kwao kama Umoja wa Vijana wa CCM na kitendo cha vijana wa Baraza la Vijana la CHADEMA (BAVICHA) kuhamasishana kwenda mahakamani Tarehe 05/08/2021 wakaishinikize mahakama imfutie kesi Mwenyekiti wao Freeman Mbowe huku wakijua kitendo hicho ni kinyume na sheria.

Kihongosi aliwaeleza vijana wa CHADEMA kwamba nchi hii inaongozwa na Katiba na sheria za nchi na mambo yote yako kisheria hivyo wanapoingilia uhuru wa mahakama basi wajue wanavunja sheria za nchi huku akiwashangaa kwamba kama wao wanajipambanua wanataka demokrasia, wanataka mahakama iwe huru na ifanye kazi zake bila kuingiliwa, sasa inashangaza wao hao hao wanaita Waandishi na kuwahamasisha vijana wakaishinikize mahakama imfutie kesi Mbowe, wao hawana mamlaka hayo na kila muhimili unafanya kazi zake sasa wanapotaka kuingilia uhuru wa mahakama maana yake wanaingilia uhuru wa sheria zetu jambo ambalo halikubaliki.

Katibu Kihongosi akawaeleza vijana wa BAVICHA na Mwenyekiti wake (John Pambalu) kwamba wana wajibu wa kutii sheria na si kuwataka vijana kwenda mahakama kushinikiza mahakama.

Akawashangaa BAVICHA kutaka Mbowe afutiwe mashtaka wakati mahakama wala wao hawajajiridhisha kama Mbowe hana hatia? Kihongosi akawatolea mfano CHADEMA ambao juzi hapa baada ya Sabaya kupelekwa mahakamani walishangilia kwamba mahakama inatenda haki lakini leo wanageuka na kudai mahakama haiko huru. Kesi iko mahakamani halafu wewe unataka kushinikiza ifutwe, huo ni utovu wa nidhamu na Katibu Kihongosi akawataka kuheshimu sheria za nchi na kuacha mambo ya kitoto na siasa ambazo zimekosa hoja.

Kihongosi alisema inashangaza Ndugu Pambalu (Mwenyekiti wa BAVICHA) anasimama na kusema anamtaka Rais, hakuna mtu anayeweza kumtaka Rais, Rais yuko pale kisheria na anafanya kazi kwa miongozo iliyopo kisheria. Katibu Kenani aliwapa somo vijana wa BAVICHA. Rais ameshatoa msimamo kuhusu suala la Katiba, Rais kwasasa ana kazi kubwa ya kupeleka maendeleo kukuza uchumi kwa Watanzania nchi nzima, Rais ana wajibu wa kutimiza matakwa kwa Watanzania na sio hoja za mtu mmoja mmoja na wasaka vyeo.

Ndugu Kihongosi aliwashangaa vijana wa BAVICHA kudai Mbowe anaonewa bila ya kuwa na uthibitisho wowote. Akawataka kuviacha vyombo vya ulinzi na usalama kufanya kazi yake na kuacha kutweza jeshi la polisi, kudhalilisha mamlaka za vyombo vyetu vya ulinzi na usalama, jambo ambalo halikubaliki kwasababu hata hiyo amani ambayo wao wanaiona imesimamiwa na hilohilo Jeshi la polisi.

Ndugu Kenani alimtaka Pambalu kuomba radhi kwa kitendo chake cha kudhalilisha Jeshi la polisi na kumtaka kuliheshimu kwani ndilo ambalo limekuwa likimlinda yeye na familia yake akiwa amelala wakati Jeshi letu likiwa macho kulinda amani.

Aliwataka vijana wa CHADEMA kuacha kutumia ajenda ya Katiba kufanya uhalifu kwenye nchi yetu na kuwataka Watanzania kumpuuza Pambalu ambaye anataka kuharibu amani ya nchi yetu. Kihongosi aliwataka vijana kuendelea kutafuta kipato cha familia zao siku ya Tarehe 5 na kuacha kujiingiza kwenye migogoro ya kupambana na Serikali ambayo haiwezi kuongeza pato la nchi hii. Wanasiasa hawa wamesababisha matatizo kwa familia mbalimbali kama pale Arusha mtu alipata matatizo kwasababu ya hawa wanasiasa wa upinzani lakini wanasiasa hawa wanaendelea kudunda kila siku wakati wengine waliowahamisha vurugu wameumia na kuwataka vijana kukataa kutumika na wanasiasa walafi na waroho wa madaraka.

Ni lazima wananchi waendelee kutii mihimili ya nchi yetu na kuacha kutumika na wanasiasa ambao hawana cha kupoteza kwasababu wakiharibu hapa wanaweza kukimbilia nje ya nchi na wengine tunawaona wako huko Ulaya. Akili za kuambiwa changanya na zako na kutokubali kuingia kwenye mikumbo isiyo na tija kwa nchi.

Viongozi wa CHADEMA wana jukumu la kuwafunda vijana wao kuwa na adabu kwa mamlaka lakini wajue wanayoyafanya hakuna Mtanzania anawaunga mkono kwasababu kila wanapoitisha maandamano Watanzania wamekuwa wakiwapuuza.

Katibu alimaliza kwa kueleza vijana wa CCM wataendelea kuiunga mkono Serikali na kuwa mstari wa mbele kulinda amani ya nchi na kuwaeleza Watanzania kulinda umoja wetu. Wanasiasa wa upinzani wajifunze kwamba Watanzania hawashawishiki na siasa zao za chuki na uzandiki na ndio maana mara zote walipoanzisha kampeni za kuvunja amani na sheria hawajawahi kuungwa mkono na Watanzania. Wajishtukie. Mfano kwenye Ukuta, maandamano yao baada ya kushindwa uchaguzi mwaka jana hakuna aliyewaunga mkono.

Upinzani ujifunze kuridhika pale wanaposhindwa na sio kuilamu CCM ikishindwa kwasababu asiyekubali kushindwa si mshindani na wawe Mabalozi wa amani yetu. Toka Rais Samia aingie madarakani, ameendelea kuhamasisha siasa za upendo, umoja wa Kitaifa na zinazopeleka maendeleo kwa watu, cha ajabu wenzetu wa upinzani kutwa wamejizatiti kuhamasisha vurugu, uhasama na kuchonganisha wananchi na Serikali yao. Hili pekee linawafedhehesha na kuwaonyesha nia yao ovu kwa nchi hii.

Katibu Mkuu Kihongosi akamaliza kwa kuwataka wananchi kuendelea na shughuli zao za uzalishaji siku ya tarehe 05/08/2021 ambapo vijana wa CHADEMA wamepanga kwenda mahakamani kushinikiza mahakama imuachia Mwenyekiti wao basi watu wawapuuze na polisi wafanye kazi yao.

#MtumishiWaWote
#KaziIendelee
#TaifaKwanza

View attachment 1879128

View attachment 1879129

View attachment 1879131

View attachment 1879132

View attachment 1879134

View attachment 1879135

View attachment 1879136

View attachment 1879137
Mbona polisi hawajawakamata kama kweli polisi wanafanya kazi kwa mujibu wa sheria, angekuwa Chadema angekamatwa.
 
Mahakamani si eneo la mikusanyiko mikubwa ya watu.....

Mahakamani si eneo la kufanyia maandamano......

I remind Chadema that Justices could easily be swayed by the massive of the VOX POPULI that would impedes the dictates of the law.....

Wanasheria wao walichukue hili....

#KaziInaendeleaKwaKasiYakutisha
#SiempreCCM
#SiempreMh.SSH
#HastaLaVictoriaCCM
Haya yameanza lini?
 
Si kweli.....

CCM ni imani....

Imani yake bado inaaminiwa na wengi wa watanzania wakawaida kabisa......

Imani zake tatu ni SHOCK ABSORBER ya maisha ya watanzania:

1)Binadamu wote ni sawa.

2)Kila mtu anastahili heshima ya kutambuliwa na kuthaminiwa utu wake.

3)Ujamaa na kujitegemea ndiyo njia sahihi ya kujenga jamii iliyo sawa na huru.

*******************************

Watanzania wanakipenda CCM kwa Sababu HAWAITAKI DEMOKRASIA yenye kuleta UVUNJIFU WA AMANI ,GHASIA ,FUJO ,MAUAJI NA VITA.....

WANA MIFANO MINGI MNO YA KUELEZEA SINTOFAHAMU YA SIASA HASIMU(TUG OF WARS) INAYOPELEKEA UMWAGIKAJI DAMU SEHEMU MBALIMBALI DUNIANI

#SiempreCCM
#SiempreSSH
Kumbe kuna watu wanaitaka ccm kweli, haki sikuwahi kujua, mana hata nyie humu ni kwa sababu ya malipo tu
 
Yaani wewe unadhani mimi ni CDM? Wala sina haja na siasa na wala sina sababu yoyote ya kuingia kwenye siasa iwe CCM au CDM. Lakini ukweli sisi raia tunaona kwamba CDM ndo mpinzani mkuu wa CCM. Unadhani wote tunatetea mavyama....tunaongea objectively tu.
Huyo jamaa ni chizi, atakusumbua sana,
 
Akajibu tuhuma zake kwenye kesi ya sabaya, kwanza dogo ni mzinzi balaa huyu ni Sabaya aliyepoa

Kutumia platform kuizumgumzia CDM ni sawa na kupiga chura teke
 
Mmeonywa msivunje Sheria kwa kuingilia kazi ya majaji, sasa kama unafikiri mnabembelezwa nendeni mahakamani mkafanye huo utoto wenu, mtachakaaa maradufu
Mbona unafikra za unyaniunyani sana?

Yaani karne hii ya 21 unaona ni sifa kupiga, kuumiza na kuua binadamu mwenzako kisa tu anatumia uhuru wake?

Mbona mna mambo ya kijima sana! Ukute wewe ni miongoni mwa waliopewa dhama ya vyeo na fikra ndo hizi za kinyaninyani!

Kwa aina hii ya watu it will take us "a Generational Drift" kupata maendeleo.
 
Ujumbe umefika kwa wahusika nchi hii ina Sheria zake, anaejifanya anajitoa akili rungu litashuka, kwenye kichwa chake
Sheria gani inavunjwa kwa watu kwenda Mahakamani kusikiliza kesi ya wanaedhani ni kiongozi wao? Ebu tutajie hivyo vifungu vya sheria na sisi tuelimike kidogo.

Kinyume na hapo shut up and leave the platform.
 
Mbona unafikra za unyaniunyani sana?

Yaani karne hii ya 21 unaona ni sifa kupiga, kuumiza na kuua binadamu mwenzako kisa tu anatumia uhuru wake?

Mbona mna mambo ya kijima sana! Ukute wewe ni miongoni mwa waliopewa dhama ya vyeo na fikra ndo hizi za kinyaninyani!

Kwa aina hii ya watu it will take us "a Generational Drift" kupata maendeleo.
Uhuru na mipaka yake, kama hutaki kuelewa hilo njia pekee ni kukueleza kama pia hutaki kuelewa utapigwa tuuu , hakuna kubembelezana kama tunatoa posa
 
Mbona unafikra za unyaniunyani sana?

Yaani karne hii ya 21 unaona ni sifa kupiga, kuumiza na kuua binadamu mwenzako kisa tu anatumia uhuru wake?

Mbona mna mambo ya kijima sana! Ukute wewe ni miongoni mwa waliopewa dhama ya vyeo na fikra ndo hizi za kinyaninyani!

Kwa aina hii ya watu it will take us "a Generational Drift" kupata maendeleo.
Hakuna cha Generation wala nini, nchi ina taratibu zake, kama hutaki kuzifata kwa hiari yako, utalazimishwa kwa nguvu kuzitiii
 
Hakuna cha Generation wala nini, nchi ina taratibu zake, kama hutaki kuzifata kwa hiari yako, utalazimishwa kwa nguvu kuzitiii
Taratibu zipi zinazovunjwa/kiukwa? Ebu tueleweshe na hivyo vifungu na sisi tupate kuelewa.

Shauri hili kwa mujibu wa sheria zetu linatakiwa liendeshwe mahakama ya wazu kuruhusu umma kushiriki na kuangalia mwenendo.

Sasa sijui wewe unaongelea taratibu zipi? Tatizo la nchi hii ni watu wajingawajinga kama wewe ndo wanaamua hatma yetu.

Pathetic!
 
Back
Top Bottom