Katika hali ya kushangaza katibu mkuu wa uvccm martin shigele amedai kwamba mauaji ya kijana ally (muuza magazeti ) yaliofanyika jana yamefanywa na chama cha CHADEMA. Alitoa kauli hiyo wakati anatuma salamu za rambi rambi kwa familia ya marehemu.SOURCE : Taarifa ya habari ya saa 12 jioni Clouds FM