Stephano Mgendanyi
JF-Expert Member
- May 16, 2020
- 1,890
- 939
Katibu Mkuu wa Umoja wa Vijana wa CCM (UVCCM) Ndugu Kenani Kihongosi Kuzindua VIJANA JOGGING CLUB.
VIJANA JOGGING CLUB.
Umoja wa Vijana wa Chama cha Mapinduzi unapenda kuwaalika Vijana wote wa Tanzania katika Uzinduzi wa “Vijana Jogging Club” utakaofanyika tarehe 31 Julai 2021 kuanzia Nyerere Square hadi Uwanja wa Jamhuri jijini Dodoma.
Mgeni rasmi katika Uzinduzi wa Vijana Jogging Club ni Katibu Mkuu wa Umoja wa Vijana wa CCM Ndugu Kenani Kihongosi.
Mkuu wa Mkoa wa Dodoma, Ndugu. Anthony Mtaka - Atashiriki.
Mbunge wa Jimbo la Dodoma, Ndugu. Anthony Mavunde - Atashiriki.
#CoronaIpoMazoeziMuhimu
#AmaniYetuMaishaYetu
#KaziIendelee
WATU WOTE KUTOKA NCHI NZIMA MNAKARIBISHWA.
KARIBUNI SANA SANA SANA
JISIKIE UPO NYUMBANI.
#MtumishiWaWote
#MtumishiWaWote
#MtumishiWaWote.
KARIBUNI SANA SANA SANA
JISIKIE UPO NYUMBANI.
#MtumishiWaWote
#MtumishiWaWote
#MtumishiWaWote.