YEHODAYA
JF-Expert Member
- Aug 9, 2015
- 36,909
- 51,904
Katibu mkuu wa umoja wa Mataifa asema ilitakiwa Urusi kutumia mahakama za umoja wa mataifa sio kuvamia Ukraine
Asema charter ya Umoja wa mataifa inaeleza wazi kuwa migogoro kati ya nchi na nchi inatakiwa itatuliwaje sio kuvamia nchi nyingine
Source :Hotuba yake live akiwa Urusi
Asema charter ya Umoja wa mataifa inaeleza wazi kuwa migogoro kati ya nchi na nchi inatakiwa itatuliwaje sio kuvamia nchi nyingine
Source :Hotuba yake live akiwa Urusi