riphabari nilizozipata hivi punde, katibu mkuu wa chama cha tanzania labour party john komba amefariki jana katika hospitali ya taifa ya muhimbili. Komba alikuwa amelazwa akiwa amepooza mwili upande mmoja.
May the Good Lord rest his soul in peace. Nikifikiri ni Capt.
We Vipi? unajitambulisha msibani!mimi hii ndio mara yangu ya kwanza kujiunga kwenye jamii forum,hivyo naomba mnipokee na tuendelee kupashana habari. asanteni sana