Katibu mkuu wa TFF ahojiwa TAKUKURU

Miss Zomboko

JF-Expert Member
May 18, 2014
4,495
9,275
1.jpg

Katibu Mkuu wa Shirikisho la soka nchini TFF Wilfredy Kidau amehojiwa na taasisi ya kuzuia na kupambana na rushwa.

Baada ya kutoka ndani Kidao hakutaka kuongea chochote na waandishi wa habari.

Hivi karibuni Mkurugenzi wa TAKUKURU Brig. John Mbungo aliweka wazi kuwa wanaendelea kuwahoji watu mbalimbali kuhusu matumizi ya Bilioni 1 zilizotolewa na serikali kwa ajili ya vijana wa AFCON
 
Hivi kuna watu bado wanapiga hela hata aliyotoa rais!!!

"corona ipo tuchukue tahadhari"
 
Ms Zomboko ulikuwa unatuletea habari za vifo hapa lakini vilipokuwa vya COVID-19, ulikaa kimya. Na wewe uko Chattle nini?
 
Watazitapika kwa njia yoyote, hivi njia za kutapikia huwa ziko ngapi?

Sent using kidole gumba
 
Jamani sio ivo , inahitaji uadilifu na. Uwazi tu na sio janja janja tu, kila kitu kizuri kina gharama zake, ukiona Spain inacheza soka Safi jiulize waliwekeza miaka mingapi kuwa Bora na sio kufanya maandalizi ya Zima moto, lakini kwasoka la vijana TFF wamejitahidi Sana kwa kiasi kikubwa#mpira ni uwekezaji na sio maneno tu
 
Soka linahitaji umakini Sana la sivyo itaonekana Kama ni kutwanga maji , ata Kama ni nani aingie uongozini pale TFF kinachotakiwa ni kuweka Sera ambazo zitaifanya shughuli za michezo kuwa juu, ujuzi ndio Cha maana
 
Kelele zote za Karia kwamba hela haikuingia TFF ni bure.

Mimi naamini hela inaweza isiingie TFF lakini ni wadau wakubwa katika kufanya hela iende wapi. Hapo lazima wanase tu. Ukweli ni kwamba TFF ilikuwa mwenyeji wa wageni wengi wa AFCON (Under 17).

Kidau akiingia tu, lazima Karia awemo labda amruke kama ilivyo kwenye michongo mingi. Jina la boss halionekani popote lakini ndiyo anachukua mzigo mkubwa vinginevyo anachoma!
 
Takukuru huwa hawakurupuki kwenye mambo yao...hapo kuna watu ndani ya TFF wameona dili...wameenda kuwatonya jamaa...Picha ndio limeanza tusubiri.
 
Tatizo sio TFF Tatizo ni hiyo kamati ya kuratibu mashindano
*Miundombinu (Infrastructure)*

1. Paul Makonda (Mwenyekiti)
2. Yusuph Singo
3. Sunday Kayuni
4. Leslie Liunda
5. Nassoro Idrissa
6. Mohamed Kiganja
7. Mhandisi Davis Shemangale

*Masoko na Habari (Marketing, Commercial and Media)*
1. Kelvin Twissa (Mwenyekiti)
2. Angetile Osiah
3. Dk. Hassan Abbas
4. Dk. Omari Swaleh (Chuo Kikuu cha Mzumbe)
5. Iman Kajula
6. Tido Mhando
7. Head of Marketing – NMB

*Fedha na Mipango (Finance and Planning)*
1. Doto James (Mwenyekiti)
2. Mohamed Dewji
3. Dk. Seif Muba
4. Bernard Lubogo
5. Paul Bilabaye
6. Jacquelline Woiso
7. Cornel Barnabas

*Usafiri na Malazi (Transport and Accommodation)*
1. Mhandisi Ladislaus Matindi (Mwenyekiti)
2. Abubakar Bakhresa
3. Aziz Abood
4. Alhaj. Ahmed Mgoyi
5. Mhe. Ahmed Shabiby
6. Dk. Maige Mwakasege Mwasimba
7. Shebe Machumani

*Uratibu Utalii*
1. Dkt. Khamis Kigwangala (Mwenyekiti)
2. Allan Kijazi
3. Devotha Mdachi
4. Mkurugenzi Mtendaji wa Manispaa ya Temeke
5. Hoyce Temu
6. Leah Kihumbi (Mkurugenzi Sanaa)
7. Athuman Jumanne Nyamlani

*Itifaki*
1. Kamishna Mkuu wa Uhamiaji (Mwenyekiti)
2. Mndolwa Yusuph
3. Filbert Bayi
4. Mkurugenzi Uwanja wa Ndege JNIA
5. Happiness Luangisa
6. Alex Makoye Nkenyenge
7. Alhaji Idd Mshangama

*Tiba na Udhibiti wa Dawa za Kusisimua Misuli (Medical and Doping Control)*
1. Prof. Lawrence Museru (Mwenyekiti)
2. Dkt. Paul Marealle
3. Dkt. Edmund Ndalama
4. Dkt. Christina Luambano
5. Daktari Mkuu wa Hospitali ya Temeke
6. Hiiti Sillo

*Sheria na Taratibu*
1. William Erio (Mwenyekiti)
2. Dk. Damas Ndumbaro
3. Edwin Kidifu
4. Ally Mayai
5. Khalid Abeid

*Ulinzi na Usalama (Safety and Security)*
1. IGP. Simon Siro (Mwenyekiti)
2. Michael Wambura
3. CP. Andengenye – Zimamoto
4. CP. Lazaro Mambosasa – Polisi Kanda ya Dar-es-Salaam
5. Mkuu wa Askari wa Usalama Barabarani.
6. TISS
7. Jonas Mahanga

*Rasilimali Watu (Human Resources)*
1. Dk. Francis Michael (Mwenyekiti)
2. Allan Kijazi
3. Wane Mkisi
4. Juliana Yassoda
5. Gerald Mwanilwa

Kamati hizo ndogo zitakuwa chini ya Kamati Kuu inayoongozwa

1.Mwenyekiti Dk. Harrison Mwakyembe (MP)

2.Makamu Mwenyekiti wa Leodegar Tenga

3.Mtendaji Mkuu wa Kamati hiyo ni Henry B. Tandau.

Sent using Jamii Forums mobile app
Unafikiri posho yao tu si B inakata
 
Tatizo sio TFF Tatizo ni hiyo kamati ya kuratibu mashindano
*Miundombinu (Infrastructure)*

1. Paul Makonda (Mwenyekiti)
2. Yusuph Singo
3. Sunday Kayuni
4. Leslie Liunda
5. Nassoro Idrissa
6. Mohamed Kiganja
7. Mhandisi Davis Shemangale

*Masoko na Habari (Marketing, Commercial and Media)*
1. Kelvin Twissa (Mwenyekiti)
2. Angetile Osiah
3. Dk. Hassan Abbas
4. Dk. Omari Swaleh (Chuo Kikuu cha Mzumbe)
5. Iman Kajula
6. Tido Mhando
7. Head of Marketing – NMB

*Fedha na Mipango (Finance and Planning)*
1. Doto James (Mwenyekiti)
2. Mohamed Dewji
3. Dk. Seif Muba
4. Bernard Lubogo
5. Paul Bilabaye
6. Jacquelline Woiso
7. Cornel Barnabas

*Usafiri na Malazi (Transport and Accommodation)*
1. Mhandisi Ladislaus Matindi (Mwenyekiti)
2. Abubakar Bakhresa
3. Aziz Abood
4. Alhaj. Ahmed Mgoyi
5. Mhe. Ahmed Shabiby
6. Dk. Maige Mwakasege Mwasimba
7. Shebe Machumani

*Uratibu Utalii*
1. Dkt. Khamis Kigwangala (Mwenyekiti)
2. Allan Kijazi
3. Devotha Mdachi
4. Mkurugenzi Mtendaji wa Manispaa ya Temeke
5. Hoyce Temu
6. Leah Kihumbi (Mkurugenzi Sanaa)
7. Athuman Jumanne Nyamlani

*Itifaki*
1. Kamishna Mkuu wa Uhamiaji (Mwenyekiti)
2. Mndolwa Yusuph
3. Filbert Bayi
4. Mkurugenzi Uwanja wa Ndege JNIA
5. Happiness Luangisa
6. Alex Makoye Nkenyenge
7. Alhaji Idd Mshangama

*Tiba na Udhibiti wa Dawa za Kusisimua Misuli (Medical and Doping Control)*
1. Prof. Lawrence Museru (Mwenyekiti)
2. Dkt. Paul Marealle
3. Dkt. Edmund Ndalama
4. Dkt. Christina Luambano
5. Daktari Mkuu wa Hospitali ya Temeke
6. Hiiti Sillo

*Sheria na Taratibu*
1. William Erio (Mwenyekiti)
2. Dk. Damas Ndumbaro
3. Edwin Kidifu
4. Ally Mayai
5. Khalid Abeid

*Ulinzi na Usalama (Safety and Security)*
1. IGP. Simon Siro (Mwenyekiti)
2. Michael Wambura
3. CP. Andengenye – Zimamoto
4. CP. Lazaro Mambosasa – Polisi Kanda ya Dar-es-Salaam
5. Mkuu wa Askari wa Usalama Barabarani.
6. TISS
7. Jonas Mahanga

*Rasilimali Watu (Human Resources)*
1. Dk. Francis Michael (Mwenyekiti)
2. Allan Kijazi
3. Wane Mkisi
4. Juliana Yassoda
5. Gerald Mwanilwa

Kamati hizo ndogo zitakuwa chini ya Kamati Kuu inayoongozwa

1.Mwenyekiti Dk. Harrison Mwakyembe (MP)

2.Makamu Mwenyekiti wa Leodegar Tenga

3.Mtendaji Mkuu wa Kamati hiyo ni Henry B. Tandau.

Sent using Jamii Forums mobile app
Unafikiri posho yao tu si B inakata
Kwani walikuwa wanajilipa posho ?
 
Tatizo sio TFF Tatizo ni hiyo kamati ya kuratibu mashindano
*Miundombinu (Infrastructure)*

1. Paul Makonda (Mwenyekiti)
2. Yusuph Singo
3. Sunday Kayuni
4. Leslie Liunda
5. Nassoro Idrissa
6. Mohamed Kiganja
7. Mhandisi Davis Shemangale

*Masoko na Habari (Marketing, Commercial and Media)*
1. Kelvin Twissa (Mwenyekiti)
2. Angetile Osiah
3. Dk. Hassan Abbas
4. Dk. Omari Swaleh (Chuo Kikuu cha Mzumbe)
5. Iman Kajula
6. Tido Mhando
7. Head of Marketing – NMB

*Fedha na Mipango (Finance and Planning)*
1. Doto James (Mwenyekiti)
2. Mohamed Dewji
3. Dk. Seif Muba
4. Bernard Lubogo
5. Paul Bilabaye
6. Jacquelline Woiso
7. Cornel Barnabas

*Usafiri na Malazi (Transport and Accommodation)*
1. Mhandisi Ladislaus Matindi (Mwenyekiti)
2. Abubakar Bakhresa
3. Aziz Abood
4. Alhaj. Ahmed Mgoyi
5. Mhe. Ahmed Shabiby
6. Dk. Maige Mwakasege Mwasimba
7. Shebe Machumani

*Uratibu Utalii*
1. Dkt. Khamis Kigwangala (Mwenyekiti)
2. Allan Kijazi
3. Devotha Mdachi
4. Mkurugenzi Mtendaji wa Manispaa ya Temeke
5. Hoyce Temu
6. Leah Kihumbi (Mkurugenzi Sanaa)
7. Athuman Jumanne Nyamlani

*Itifaki*
1. Kamishna Mkuu wa Uhamiaji (Mwenyekiti)
2. Mndolwa Yusuph
3. Filbert Bayi
4. Mkurugenzi Uwanja wa Ndege JNIA
5. Happiness Luangisa
6. Alex Makoye Nkenyenge
7. Alhaji Idd Mshangama

*Tiba na Udhibiti wa Dawa za Kusisimua Misuli (Medical and Doping Control)*
1. Prof. Lawrence Museru (Mwenyekiti)
2. Dkt. Paul Marealle
3. Dkt. Edmund Ndalama
4. Dkt. Christina Luambano
5. Daktari Mkuu wa Hospitali ya Temeke
6. Hiiti Sillo

*Sheria na Taratibu*
1. William Erio (Mwenyekiti)
2. Dk. Damas Ndumbaro
3. Edwin Kidifu
4. Ally Mayai
5. Khalid Abeid

*Ulinzi na Usalama (Safety and Security)*
1. IGP. Simon Siro (Mwenyekiti)
2. Michael Wambura
3. CP. Andengenye – Zimamoto
4. CP. Lazaro Mambosasa – Polisi Kanda ya Dar-es-Salaam
5. Mkuu wa Askari wa Usalama Barabarani.
6. TISS
7. Jonas Mahanga

*Rasilimali Watu (Human Resources)*
1. Dk. Francis Michael (Mwenyekiti)
2. Allan Kijazi
3. Wane Mkisi
4. Juliana Yassoda
5. Gerald Mwanilwa

Kamati hizo ndogo zitakuwa chini ya Kamati Kuu inayoongozwa

1.Mwenyekiti Dk. Harrison Mwakyembe (MP)

2.Makamu Mwenyekiti wa Leodegar Tenga

3.Mtendaji Mkuu wa Kamati hiyo ni Henry B. Tandau.

Sent using Jamii Forums mobile app
Unafikiri posho yao tu si B inakata
Duh!...Hiki kinaitwa kikosi kipana!
 
Back
Top Bottom