Dr Shekilango
Senior Member
- Dec 30, 2013
- 192
- 117
Hali ya mambo ndani ya NCCR-Mageuzi imemgeukia Katibu Mkuu wa chama hicho Martha Chiomba, baada ya Jumuiya ya Vijana na baadhi ya Vigogo wa chama hicho kuaziamia kumg'oa.
Taarifa za hivi punde ni kwamba tayari hoja ya kumg'oa imewasilishwa katika viunga vya Ilala Makao Makuu ya NCCR-Mageuzi.
=====
KANUSHO; 15 FEB 2022
=======
MODERATOR: Edward Sembeye, Mkuu wa Idara ya Uenezi na Mahusiano ya Umma wa NCCR Mageuzi amekanusha habari hizi.
Amedai ndani ya chama hakuna mgogoro wowote na Katibu Mkuu yupo Ofisini anafanya kazi na anashirikiana na Jumuiya zote za Vijana Wazee na Wanawake. Amedai ni mara ya kwanza kusikia malalamiko haya.
Taarifa za hivi punde ni kwamba tayari hoja ya kumg'oa imewasilishwa katika viunga vya Ilala Makao Makuu ya NCCR-Mageuzi.
=====
KANUSHO; 15 FEB 2022
=======
MODERATOR: Edward Sembeye, Mkuu wa Idara ya Uenezi na Mahusiano ya Umma wa NCCR Mageuzi amekanusha habari hizi.
Amedai ndani ya chama hakuna mgogoro wowote na Katibu Mkuu yupo Ofisini anafanya kazi na anashirikiana na Jumuiya zote za Vijana Wazee na Wanawake. Amedai ni mara ya kwanza kusikia malalamiko haya.