Uzalendo wa Kitanzania
JF-Expert Member
- Mar 8, 2020
- 2,193
- 4,661
Viongozi hao walikutana Makao Makuu ya CCM Dodoma.
Balozi huyo wa Ufaransa nchini Tanzania amesema Nchi yake itazidisha Ushirikiano na Serikali ya Tanzania kwani inafurahishwa na hali ya kisiasa Tanzania.
Amesema Wamefurahishwa na hotuba aliyoitoa Rais Magufuli wakati wa ufunguzi wa Bunge la 11 La Jamhuri ya Muungano wa Tanzania hususani Mkakati wa Ukuzaji wa Sekta Binafsi.
Balozi huyo Frederic Clavier ameongeza kuwa Serikali ya Ufaransa imefurahishwa na maendeleo makubwa yaliyofikiwa ikiwemo kuingia kwenye Uchumi wa Kati.
Balozi huyo wa Ufaransa nchini Tanzania amesema Nchi yake itazidisha Ushirikiano na Serikali ya Tanzania kwani inafurahishwa na hali ya kisiasa Tanzania.
Amesema Wamefurahishwa na hotuba aliyoitoa Rais Magufuli wakati wa ufunguzi wa Bunge la 11 La Jamhuri ya Muungano wa Tanzania hususani Mkakati wa Ukuzaji wa Sekta Binafsi.
Balozi huyo Frederic Clavier ameongeza kuwa Serikali ya Ufaransa imefurahishwa na maendeleo makubwa yaliyofikiwa ikiwemo kuingia kwenye Uchumi wa Kati.