Influenza
JF-Expert Member
- Jul 1, 2018
- 1,445
- 3,402
Picha: Renatus Muabhi
Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa Nchini (TAKUKURU) inamshikilia Katibu Mkuu wa Chama cha Siasa kiitwacho Chama Cha Kijamii (CCK), Renatus Muabhi kwa kujifanya Mtumishi wa Taasisi hiyo
Anadaiwa pia kuomba rushwa ya Tsh. Milioni 50 kwa Mkurugenzi wa Kampuni ya Bharya Engineering & Contracting Company Limited (BECCO), Manraj Bharya
TAKUKURU imeeleza kuwa imebaini Renatus aliomba rushwa hiyo akidai kutaka kumsaidia Bharya katika tuhuma zake zinazomkabili kuhusu IPTL
Mtuhumiwa alikamatwa Desemba 10, 2019 jioni katika ofisi za BECCO akiwa amepokea fedha za mtego Tsh. Milioni 1 zilizokuwa zimeandaliwa na kuchanganywa na nyingine kufikia Milioni 50.
Pia soma:
- Aliyekuwa Katibu Mkuu CCK mbaroni kwa kujifanya ‘usalama’ (28/01/2022)