ACT Wazalendo
JF-Expert Member
- May 5, 2014
- 608
- 1,540
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI
Leo tarehe 16 Agosti 2020, Katibu Mkuu wa Chama cha ACT Wazalendo Ndugu Ado Shaibu atazungumza na waandishi wa habari.
Mada: Maamuzi ya Kamati Kuu ya ACT Wazalendo Kuhusu Uteuzi wa Wabunge na Wajumbe wa Baraza la Wawakilishi.
Muda: Saa 6.00 Mchana.
Eneo: Ofisi ya Chama Magomeni, Dar es salaam.
Imetolewa na:
Janeth Joel Rithe, Naibu Katibu wa Habari, Uenezi na Mawasiliano na Umma.
16 Agosti 2020.
Leo tarehe 16 Agosti 2020, Katibu Mkuu wa Chama cha ACT Wazalendo Ndugu Ado Shaibu atazungumza na waandishi wa habari.
Mada: Maamuzi ya Kamati Kuu ya ACT Wazalendo Kuhusu Uteuzi wa Wabunge na Wajumbe wa Baraza la Wawakilishi.
Muda: Saa 6.00 Mchana.
Eneo: Ofisi ya Chama Magomeni, Dar es salaam.
Imetolewa na:
Janeth Joel Rithe, Naibu Katibu wa Habari, Uenezi na Mawasiliano na Umma.
16 Agosti 2020.