Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 80,836
- 93,617
Wewe upo CCM mambo ya CDM hayakuhusuIpo tena ilifunguliwa na Tundu Lisu wakati wa kampeni za urais!
Wewe upo CCM mambo ya CDM hayakuhusuIpo tena ilifunguliwa na Tundu Lisu wakati wa kampeni za urais!
Kama Mwendazake alivyoongezwa kwenye Kundi la MalaikaHuyu anatakiwa aongezwe kwenye kundi la kinambowe
USSR
Kuongea masuala yaliyopo ni kuvurugwa?Basi weye na vihongwe wenzio wa CCM mnaoanzisha nyuzi kila sekunde kabla hata hamjatengeneza madela yenu viunoni mnapaswa mpewe jina jipya.Chadema ni kama wamevurugwa vile.
Katibu mkuu wa Chadema mh Mnyika ataongea na waandishi wa habari leo saa 6.00 mchana makao makuu ya chama hicho mtaa wa Ufipa manispaa ya Kinondoni
malaika ama anarukishwa kichuraaa na kina ben 8... ha ha haKama Mwendazake alivyoongezwa kwenye Kundi la Malaika
Sent from my SM-J600F using JamiiForums mobile app
alafu baada ya hapo ndiyo mtafuta tozo kandamizi?Huyu anatakiwa aongezwe kwenye kundi la kinambowe
USSR
Wakati huu mliovurugwa siyo mbaya tukiwasaidia manka.
Mm tozo naiona ya kawaida wewe kapuku endelea kuliaalafu baada ya hapo ndiyo mtafuta tozo kandamizi?
nilie au niamie burundi??Mm tozo naiona ya kawaida wewe kapuku endelea kulia
USSR