Wangari Maathai
JF-Expert Member
- Aug 13, 2018
- 34,962
- 70,472
Sijui y heche amekosa hiiNani wa kusema hiyo......su?!!
Sijui y heche amekosa hiiNani wa kusema hiyo......su?!!
HEBU AANGALIE KWANZA KAMA HUKO CHADEMA KAMA KUN DEMOCRASIA KAMA MTU AKITAKA KUGOMBEA UENYEKITI TAIFA LAZIMA APOTEE CHADEMA NA ANACHOKITAKA HATOKIPATA ATABAKIKUWA MPINZANI TU MILELEKatibu mkuu wa Chadema mh Mnyika amesema wataendelea kushinikiza uwepo wa Tume huru ya uchaguzi lakini siyo kwa kubweteka bali huku wakiendelea kudai haki zao nyingine.
Mnyika amesisitiza iwapo serikali ya CCM haitawapa haki yao kwenye sahani basi wataitafuta wenyewe kwa kutumia njia nyingine za kidemokrasia.
Source ITV habari
My take; Hizo njia nyingine za kiddemokrasia ndio zipi?
Maendeleo hayana vyama!
Wasanii hao wasikuumize kichwa
Wajiandae kukabidhi uongozi wa kambi ya upinzani mwakani Kwa ACT. Hii kitu inawaumiza sanaWasanii hao wasikuumize kichwa
Alitakiwa aseme tutaandamana akione cha moto,mambo ya kuremba na kupooza kauli ni uoga na kuishiwa pumzi tu
Wajiandae kukabidhi uongozi wa kambi ya upinzani mwakani Kwa ACT. Hii kitu inawaumiza sana
Hata ACT nia yao in kukamata dola. Lakini inaposhindikana ni faraja kubwa kuwa mpinzani mkuu. Inakupa leverage na kukutofautisha na vyama kama kina nccr anakoelekea chadema.Cdm haigombanii kuwa chama kikuu cha upinzani, labda kama ACT ndio inagombea nafasi hiyo.
Kama kuna vitu atakuja kuvijutia maishani siku zijazo Mnyika, ni pamoja na kukubali uteuzi huu wa ukatibu mkuu. Timing ni mbaya sana.Mnyika awe mkali na tabia ya kushambuliana mitandaoni bila kuangalia uso wa mtu. Huwezi kuwa na jeshi imara huku askari hawaaminiani. Chadema uchaguzi umeisha lakini vinyongo havijaisha pande zote.
Majeraha ya 2015 hayajapona wanajenga migogoro mingine chama chenyewe bado kina changamoto nyingi. Hivi Mdee alikuwa na ulazima wa kumjibu Mwambe? Hakuna platform ya kusolve hayo nje ya Twitter?
Wako watu wengi wana majeraha ila wameamua kukaa kimya kwa busara kwanini msirudi chini mtafakari hayo majeraha na kuyaweka sawa? Hivi mnafikiri akina Selasini wana roho za chuma na yameisha?
Jeshi imara ni lenye nidhamu na ari ya vita kabla ya silaha bora. Mnahitaji mtaji wa watu kuwaunga mkono na kuwaamini. Mjitafakari kabla hamjatafakari namna ya kuwakomboa Watanzania.
Sent using Jamii Forums mobile app
Yes, Binafsi nimefarijika kuchaguliwa lakini kuna ukakasi mwingi namna atavyoweza kuongoza watu wanaomuogopa Mbowe tu! Ila Mnyika ni transparent akiona ukakasi usioeleweka ataacha siasa.Kama kuna vitu atakuja kuvijutia maishani siku zijazo Mnyika, ni pamoja na kukubali uteuzi huu wa ukatibu mkuu. Timing ni mbaya sana.
Hivi ndivyo maCMM yalivyo. Ngono tuuuuuuuuuuuuuuu!!!