4 7mbatizaji
JF-Expert Member
- Dec 8, 2019
- 5,974
- 6,776
Kilaza nikilaza tu hata ukitaidi kumshauri bado utasumbuka na bado mwajiita wasomi kumbe vilaza tu na huna loloteUnaona unavyozidi kuthibitisha upumbavu wako
ARUSHA KWETU
Kilaza nikilaza tu hata ukitaidi kumshauri bado utasumbuka na bado mwajiita wasomi kumbe vilaza tu na huna loloteUnaona unavyozidi kuthibitisha upumbavu wako
ARUSHA KWETU
Mbona naona makinikia tuHapa ndio utaelewa kwanini Mh Mbowe ameamua John Mnyika awe Katibu Mkuu wa Chadema , yaani anatema madini matupu !
angalia mwenyewe video hii hapa
inawezekana umeng'olewa ubongoMbona naona makinikia tu
Hii speech muda si mrefu itageuzwa kidogo na kuwa mtaji kwa opportunists wa siasa hasa wale wasio na hoja .Unajua viongozi wa ccm ni weupe sana kichwani , haya mambo ya uchaguzi huru si mchezo !
Bongo hapa upinzani ni kama vita hata ukiwa na jambo zuri kiasi gani husikilizwiTanzania aisee kuna vipaji sana kuna siku niliwai waza kwamba kwanini vyama vya siasa visibadilishe katiba zao yaani chama kimoja kikichukua dora bahada ya uchaguzi teuzi mbalimbali kama za mawaziri zisiangalie mtu anatoka chama gani bali uwezo binafsi nafikili nchi inaweza piga hatua sana
johnthebaptist FYI. Vipi yale makruza badoyapo kwenye viunga vya Lumumba? au yametawanyika?huyu yuko Lumumba analinda ma Land cruiser ya viongozi wa ccm , huyu ni mlinzi
Tanzania aisee kuna vipaji sana kuna siku niliwai waza kwamba kwanini vyama vya siasa visibadilishe katiba zao yaani chama kimoja kikichukua dora bahada ya uchaguzi teuzi mbalimbali kama za mawaziri zisiangalie mtu anatoka chama gani bali uwezo binafsi nafikili nchi inaweza piga hatua sana
Moja ya tabia ya mwehu Ni kusahau, mawaziri kivuli wote Ni cdm, cuf walipendekeza watoke katika vyama vyote vyenye uwakilishi bungeni mkagoma,Tanzania aisee kuna vipaji sana kuna siku niliwai waza kwamba kwanini vyama vya siasa visibadilishe katiba zao yaani chama kimoja kikichukua dora bahada ya uchaguzi teuzi mbalimbali kama za mawaziri zisiangalie mtu anatoka chama gani bali uwezo binafsi nafikili nchi inaweza piga hatua sana
Mkuu pungunza jaziba sio kila alie hum ni mwanaccm au mwana chadema wapo ambao hawana vyama moja ni mimi hapa kama nchi tunachelewa sana na ushabiki usiokua na maana leo kama nchi tunalia na ufisadi hapa dawa ni moja tu kwanza nikubadilisha katiba ya vyama vyenu sambamba na kua na katiba mpya kwamba kama chama flani kimekua madarakani basi uteuzi usiangalie mfia chama bali uwezo binafsi na hapo utaona kama ufisadi utaendelea binafsi naamini kila chama lengo kuu ni kuwatumikia wananchi sasa mfano kama uchaguzi umeisha kwa nini vichwa vizuri visichukuliwe ili kuunda tim nzuri kwa masirai mapana ya nchi .Moja ya tabia ya mwehu Ni kusahau, mawaziri kivuli wote Ni cdm, cuf walipendekeza watoke katika vyama vyote vyenye uwakilishi bungeni mkagoma,
Ccm imewateua watendaji kutoka upinzani akina mama ngwira, mwita waitara, mtatiro, Prof mkumbo mkasema wamenunuliwa, Leo unashauri kilekile mlichokataa sio wehu huo?
Hahahaaaa........ Yale wameyaacha wameondoka na Mapya kabisa!johnthebaptist FYI. Vipi yale makruza badoyapo kwenye viunga vya Lumumba? au yametawanyika?