Nyengo3
JF-Expert Member
- Jan 17, 2020
- 517
- 1,291
Nimemsikiriza vema huyu ndie katibu tuliekuwa tunamtaka nashukuru sana Erythrocyte kwa support yako kuniwezesha kuona hii videoHapa ndio utaelewa kwanini Mh Mbowe ameamua John Mnyika awe Katibu Mkuu wa Chadema , yaani anatema madini matupu !
angalia mwenyewe video hii hapa
Huwezi kwenda ikulu kwa kusubiri Rais wa nchi aongee ,maana yake akinyamaza mnakua kimyaHapa ndio utaelewa kwanini Mh Mbowe ameamua John Mnyika awe Katibu Mkuu wa Chadema , yaani anatema madini matupu !
angalia mwenyewe video hii hapa
Mungu ibariki ChademaNimemsikiriza vema huyu ndie katibu tuliekuwa tunamtaka nashukuru sana Erythrocyte kwa support yako kuniwezesha kuona hii video
kama hukuelewa kilichoandikwa hatuna namna ya kukuokoaYaani Mheshimiwa Mbowe ndio aliamua John Mnyika awe katibu mkuu ....
Sent from my iPhone using JamiiForums
Na wakati huo huo anaendelea kujisifu kuhusu uchaguzi huo ulivyofana; halafu bado wapo watu wanaweka matumaini kuwepo uchaguzi huru, wa haki na wa wazi!Hivi unategemea kweli yule yule aliyeharibu uchaguzi wa serikali za mitaa mwaka jana, Leo hii "aokoke na kutubu" na kuahidi kuwa uchaguzi mkuu wa mwaka huu utakuwa huru na haki?
I doubt so much on that assurance
Kama hujaelewa basi we kilaza kiswahili kina wenyeweBahada ndo kitu gan?
ARUSHA KWETU
Eeenh. Tegemeo pekee ni wananchi wa Tanzania rafiki yangu Erythro.Mabeberu tayari walishamtwanga barua kali sana ! uzi uko humu humu jf
Naona Erythrocyte anakwepa kulijibu hili, sijui kwa nini.Mimi naomba kuuliza swali moja kwako mleta maada kwahiyo mbowe ndo alimua mnyika awe katibu mkuu wala siyo wanachama?
Sent using Jamii Forums mobile app
nimejibu ndani ya uzi huuNaona Erythrocyte anakwepa kulijibu hili, sijui kwa nini.
Kwani Katibu wa CCM anapatikana vipi, labda nimsaidie kwa kuliweka hili sawa.
kama hukuelewa kilichoandikwa hatuna namna ya kukuokoa
Unaona unavyozidi kuthibitisha upumbavu wakoKama hujaelewa basi we kilaza kiswahili kina wenyewe
Huyu kijana bado sana ! Haoni rais Trump aliamua kumuua generali Qassim Solemani wa Iran ili asifiwe na wamarekani kua amewaweka salama zaidi waache kufikiria impeachment proceedings dhidi yake ? Siasa ni mchezo wa tactics na technics kama football 🙂 ! One mistake one goaaaal !!!@Wasalaam, naomba tuweke pembeni itikadi zetu za kisiasa japo kwa muda tu wote tusikilize maneno haya kwa makini kwa faida ya Watanganyika waliopo na watakao kuwepo.
Tume huru ya uchaguziBila tume huru watu waingie barabarani