Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 121,947
- 95,237
Upo sahihi kabisa labda iwe kama nyuma ya pazia kawekewa shinikizo na mabeberu kuhakikisha harudii huo ujinga
Sent using Jamii Forums mobile app
Hivi unategemea kweli yule yule aliyeharibu uchaguzi wa serikali za mitaa mwaka jana, Leo hii "aokoke na kutubu" na kuahidi kuwa uchaguzi mkuu wa mwaka huu utakuwa huru na haki?
I doubt so much on that assurance
Sent using Jamii Forums mobile app