Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,574
- 217,938
Helena Yegera ambaye ni mama Mzazi wa Hayati Alphonce Mawazo , mtu aliyeuawa kinyama pengine kuliko binadamu yeyote nchini Tanzania , leo amepokea ujumbe mzito kutoka Chadema Makao Makuu ulioongozwa na Katibu Mkuu wa Chama hicho Mh John Mnyika .
Baadaye Msafara huo ukatembelea Kaburi la Kamanda Mawazo ambako kulifanyika dua ya kumuombea Hayati huyo .
Chadema imemhakikishia mama huyo ambaye ni Mkazi wa Kijiji cha Chikobe , Mkoani Geita kwamba INATAMBUA MCHANGO MKUBWA WA ALPHONCE MAWAZO KATIKA KUPIGANIA HAKI .
NO HATE NO FEAR .
Baadaye Msafara huo ukatembelea Kaburi la Kamanda Mawazo ambako kulifanyika dua ya kumuombea Hayati huyo .
Chadema imemhakikishia mama huyo ambaye ni Mkazi wa Kijiji cha Chikobe , Mkoani Geita kwamba INATAMBUA MCHANGO MKUBWA WA ALPHONCE MAWAZO KATIKA KUPIGANIA HAKI .
NO HATE NO FEAR .