Salary Slip
JF-Expert Member
- Apr 3, 2012
- 47,011
- 144,371
Katibu Mkuu wa CHADEMA, John Mnyika, kupitia mtandao wa twitter,ametaka watu kupuuza tangazo linalodaiwa kutolewa na chama chake, tangazo linaodai kuwa kampeni za Mgombe Urais wa CHADEMA zimeahirishwa.
Mnyika amesema tangazo hilo ni fake na kutaka lipuuzwe.
Mnyika amesema tangazo hilo ni fake na kutaka lipuuzwe.