''Katibu Mkuu wa CCM naye awe mwanamke!''

Mar 27, 2009
75
5
Nimevutiwa na hoja ya Makamba kwamba safari hii kamati kuu ya CCM iliona ni vyema kupitisha mwanamke kwenye nafasi ya uspika sababu ni wakati wao na kwa kuwa tangu uhuru hatujawahi kuwa na spika wa kike.

Naona chama kama kinawathamini wanawake kingeanzia nafasi ya Katibu Mkuu wa CCM kwani nayo haijawahi shikwa na mwanamke kuliko kukimbilia kwenye uspika ambao chama hakina uhakika wa kushinda moja kwa moja, ''charity begins at home''. Vinginevyo itakuwa siyo KUWAWEZESHA wanawake bali KUWAWEZA.


Hii statement inanikumbusha kauli aliyotoa Chiligati kuhusu kutoswa kwa Seleli kuwa aliachwa sababu hana mvuto, eti sababu alikuwa anatetea nafasi yake hakupaswa kupata idadi ndogo ya kura. Haijachkua muda tumegundua kuwa hata Mwenyekiti wa Taifa wa CCM Kikwete naye hana mvuto. Toka ushindi wa 82% (2005) hadi kushindwa kwa 61% (2010) akiwa madarakani. Ama kweli nyani haoni kundule, na wanawake WAKIWEZWA, WANAWEZESHWA!

Mwanamke awe Katibu Mkuu CCM, naomba kutoa hoja!
 
While at it, CCM kwa sababu wanawajali sana wanawake uchaguzi wa 2015 wapitishe wagombea wanawake tu. Si hatujawahi kuwa na rais mwanamke tangu uhuru pia? Hiki si ndicho kigezo walichotumia katika Uspika ?

I so wanna know Mzee wa "wivu wa kike" a.k.a Pius Msekwa anasemaje kuhusu hii move.
 
The irony ni kwamba CCM ni chama ambacho miongozo yake kwenye karatasi inatambia kanuni za kuheshimu usawa wa binadamu.

Actually kama kuna mtu anataka beef anaweza kusema kitendo cha CCM kutaka wagombea wanawake tu kinavunja katiba ya nchi kwa kukataza raia fulani kupata nafasi za kuchaguliwa.

But we are too polite and sheepish to fight that important battle.
 
Hao wanawake wamekuja kuonekana muhimu baada ya ubalozi wa uingereza kutoa press release?
 
G, hata mimi nakubaliana na wewe kabisa. Kuna haja ya sisiem kuwa na mgombea uraisi mwanamka maana hiyo nafasi toka uhuru inashikiliwa na wanaume. Lakini kama ulivyosema wangeanza hapo kwa makamba kwanza.
 
Ni bora kuzingatia uwezo kuliko kuangalia jinsia tu

Kuna wanawake wenye uwezo mara kumi zaidi ya Makamba ila sijui kama kweli watakuwa wako ndani ya CCM kuweza kuteuliwa nafasi hiyo ya Makamba. Watu wengi wenye akili timamu hawaingii CCM
 
Kuna wanawake wenye uwezo mara kumi zaidi ya Makamba ila sijui kama kweli watakuwa wako ndani ya CCM kuweza kuteuliwa nafasi hiyo ya Makamba. Watu wengi wenye akili timamu hawaingii CCM
CCM ya makamba ukiwa na akili nyingi wanazipunguza down to zero.

Wenye akili CCM ni wana wa viongozi wa juu na Makamba mwenyewe. Hata mwenyekiti wa taifa Makamba anamuona kama hana akili maana kamnyima hata uwezo wa kufikiri.
 
Hivi CCM huwa hawana kanuni ya kudumu?mbona kunapotukia tukio ndo kanuni zinaibukia hapo hapo. Kama asingejitokeza mwanamke kugombea nafasi hiyo mwaka huu ina maana wangemvalisha mwanaume gauni au wangempitisha mwanaume mwenye sura ya kike?
 
While at it, CCM kwa sababu wanawajali sana wanawake uchaguzi wa 2015 wapitishe wagombea wanawake tu. Si hatujawahi kuwa na rais mwanamke tangu uhuru pia? Hiki si ndicho kigezo walichotumia katika Uspika ?

I so wanna know Mzee wa "wivu wa kike" a.k.a Pius Msekwa anasemaje kuhusu hii move.

Ni sawa kabisa,ikiisha duru ya wanawake tuhamie kwa vijana au walemavu.
 
Hivi toka uhuru tushawahi pata PM mwanamke? Na jaji mkuu je tushakua nae toka uhuru? Au hata basi makamu wa rais? Tunatoa mwito na kwa kulingana na kauli ya makamba, huu uwe mwaka wa mwanamke kwa nafasi za juu kuanzia ukatibu mkuu, PM, jaji mkuu na kisha wakumrisi Jk awe mwanamke pia.
 
Kuna wanawake wenye uwezo mara kumi zaidi ya Makamba ila sijui kama kweli watakuwa wako ndani ya CCM kuweza kuteuliwa nafasi hiyo ya Makamba. Watu wengi wenye akili timamu hawaingii CCM

Hili ni neno zito sana! Asante
 
Hivi toka uhuru tushawahi pata PM mwanamke? Na jaji mkuu je tushakua nae toka uhuru? Au hata basi makamu wa rais? Tunatoa mwito na kwa kulingana na kauli ya makamba, huu uwe mwaka wa mwanamke kwa nafasi za juu kuanzia ukatibu mkuu, PM, jaji mkuu na kisha wakumrisi Jk awe mwanamke pia.
Ha ha ha CCM hapa wamekuwa wabunifu...tatizo na wasiwasi watanzania wachache wataweza kung'amua hili zengwe la spika mwanamke...nway sijui sisi m sasa hivi inaenda kwa muongozo upi..lakini m afraid to say hii issue ya kumuondoa 6 wamechemsha...
 
Hivi toka uhuru tushawahi pata PM mwanamke? Na jaji mkuu je tushakua nae toka uhuru? Au hata basi makamu wa rais? Tunatoa mwito na kwa kulingana na kauli ya makamba, huu uwe mwaka wa mwanamke kwa nafasi za juu kuanzia ukatibu mkuu, PM, jaji mkuu na kisha wakumrisi Jk awe mwanamke pia.
Ha ha ha sisi m hapa wamekuwa wabunifu...tatizo na wasiwasi watanzania wachache wataweza kung'amua hili zengwe la spika mwanamke...nway sijui sisi m sasa hivi inaenda kwa muongozo upi..lakini m afraid to say hii issue ya kumuondoa 6 wamechemsha...
 
Kwanza jiulize kwanini Spika wa Zanzibar karudi yule yule? Kwani kule hakuna wanawake? Watu wako low sana ha wa Chama Chakachua Mapema
 
Back
Top Bottom