Duh mtoa mada acha ukuda yaani unaandika mambo ya Lumumba ila akili ipo Ufipa Kino.
Sasa hilo jengo la Chadema linahusikaje
Ghetto la wazee wa gia angani.....Naona picha ya mwisho ni hifadhi kuu ya nyumbu
Kapumzike urudiMhhh lumumba nako michosho tyuu
Sent from my TECNO H6 using JamiiForums mobile app
Katibu Mkuu wa CCM A.Kinana akiwa pamoja na wageni wake ambao ni Mabalozi mbalimbali kama USA, Algeria n.k. ofisini kwake Mt. Lumumba
(Picha kwa hisani ya Blogu ya Michuzi)
Mkuu umephotoshop hii ni ofisi ya CHADEMA ccm kweli mnataka kikck. LolKatibu Mkuu wa CCM A.Kinana akiwa pamoja na wageni wake ambao ni Mabalozi mbalimbali kama USA, Algeria n.k. ofisini kwake Mt. Lumumba
(Picha kwa hisani ya Blogu ya Michuzi)