piper
JF-Expert Member
- Jan 17, 2012
- 3,253
- 612
Angekuwa SHUPAVU Mukama asingeitwa mzigo kwa ccm na wenye chama!! He will be well advised to retire to his home village peacefully!!
Ni Shubavu mkuu
Angekuwa SHUPAVU Mukama asingeitwa mzigo kwa ccm na wenye chama!! He will be well advised to retire to his home village peacefully!!
Kwa wale wanaoweza kuchanganua masuala ya kijamii na kisiasa ni dhahiri kwamba toka katibu Mkuu Wilson Mukama, utendaji ndani ya CCM umekuwa na tija. Komrade Mukama ni kiongozi shubavu, mwenye busara na anaesikiliza sana na kuongea kidogo. Ana sense of humor as well as wisdom. Tunamuombea afya njema na maisha marefu
Siyo siri mimi nilianza kumvulia kofia pale alipowashtukia wale makomandoo wa CHADEMA waliotoka kwenye mafunzo Afghanistan na Libya wakati wa uchaguzi wa IgungaKwa wale wanaoweza kuchanganua masuala ya kijamii na kisiasa ni dhahiri kwamba toka katibu Mkuu Wilson Mukama, utendaji ndani ya CCM umekuwa na tija. Komrade Mukama ni kiongozi shubavu, mwenye busara na anaesikiliza sana na kuongea kidogo. Ana sense of humor as well as wisdom. Tunamuombea afya njema na maisha marefu