Kuna ulazima wa kuwa tunatoa kadi za mialiko ya misiba,ili watu kama akina mukama wasizamie.
Huyu mzee vipi mbona anajipanua miguu kama yupo anataka kujifungua?
Huyu mzee si bure lazima atakuwa na Jabulani
hiyo picha ya kwanza alivyokaa utadhani dereva wa trekta.. nashangaa huo ukatibu mkuu aliupataje maana kwa uropokaji wake labda wangemuweka kwenye kitengo chao cha mavuvuzela.Angalia facial Expression zake, Cheki alivokaa kama anategeshea mtu amkanyage, nikikumbuka na maneno ya uchonganishi aliyozungumza nakiri kabisa huyu jamaa ni mgomvi na ana jazba sana!
Ni wakati sasa ajirekebishe kwani hizi si zama za Chama kushika hatamu!
mzee wa totoz.
Inawezekana kweli, maana hebu cheki hapo juu ya chupa ya maji ..... kavaa kufuli kweli?????????