Uzalendo wa Kitanzania
JF-Expert Member
- Mar 8, 2020
- 2,203
- 4,677
Wadau wa JF,
Katibu Mkuu wa CCM Mheshimiwa Daniel Chongollo atakuwa mgeni rasmi kwenye mafunzo ya WenyeViti wa Mikoa wa UVCCM.
Mafunzo hayo yatanyika Jumamosi Juni 19, 2021 kwenye Chuo cha Chama kilichopo Ihemi Mkoani Iringa.
Katibu Mkuu wa CCM Mheshimiwa Daniel Chongollo atakuwa mgeni rasmi kwenye mafunzo ya WenyeViti wa Mikoa wa UVCCM.
Mafunzo hayo yatanyika Jumamosi Juni 19, 2021 kwenye Chuo cha Chama kilichopo Ihemi Mkoani Iringa.