Lituye
JF-Expert Member
- Dec 27, 2015
- 1,862
- 5,680
Dr. Bashiru Ally wana wa nchi hii tunakukumbuka ulivyo kuwa Mahiri kudadavua Mada mbalimbali za Siasa Wakati huo ukifundisha Chuo kikuu UDSM kiasi Kwamba ikakujengea jina na kupata umaarufu ndani na nje ya nchi.
Nakumbuka kauli yako ulipo hojiwa na azam TV kuhusu katiba mpya bila kupepesa macho wala Kung'ata maneno Ulisema swala la Katiba mpya halina mjadala. Tulipo fikia ni lazima tuwe na katiba ya wananchi itakayoenda na wakati huu.
Lakini pia Nakumbuka kauli yako zilipo fanyika chaguzi ndogo za marudio za ubunge hivi karibuni ulisema kuwa CCM walitumia moja ya Utanzu wa kazi ya sanaa ktk Fasihi ambayo ni Maagizo na vichekesho na hivyo basi uchaguzi huo ukafana sana kwa mbinu ya Maagizo na vichekesho vilivyo tumika.
Hivi karibuni Novemba mwaka ulioisha Nasikia kulikuwa na uchaguzi wa Serikali za mitaa. Tunaona upo kimya Katibu mkuu wetu Dr. Bashiru kutujuza kuhusu uchaguzi huo. Tujuze tuu mkuu je, uchaguzi huu wa serikali za mitaa CCM walitumia Utanzu wa Ngojera, au Riwaya, au Ngano ?
Halafu ikibidi kwa maoni yako Tunaomba utujuze na uchaguzi mkuu ujao je CCM unavyo waona atatumia tena Utanzu gani wa Sanaa ktk uchaguzi huo ? Je watatumia hadith, au Ushairi au Comedi ?
Ni hayo tuu ndugu Bashiru Ally kwa leo tutaonana mwezi October 2020.
Maendeleo hayana vyama.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nakumbuka kauli yako ulipo hojiwa na azam TV kuhusu katiba mpya bila kupepesa macho wala Kung'ata maneno Ulisema swala la Katiba mpya halina mjadala. Tulipo fikia ni lazima tuwe na katiba ya wananchi itakayoenda na wakati huu.
Lakini pia Nakumbuka kauli yako zilipo fanyika chaguzi ndogo za marudio za ubunge hivi karibuni ulisema kuwa CCM walitumia moja ya Utanzu wa kazi ya sanaa ktk Fasihi ambayo ni Maagizo na vichekesho na hivyo basi uchaguzi huo ukafana sana kwa mbinu ya Maagizo na vichekesho vilivyo tumika.
Hivi karibuni Novemba mwaka ulioisha Nasikia kulikuwa na uchaguzi wa Serikali za mitaa. Tunaona upo kimya Katibu mkuu wetu Dr. Bashiru kutujuza kuhusu uchaguzi huo. Tujuze tuu mkuu je, uchaguzi huu wa serikali za mitaa CCM walitumia Utanzu wa Ngojera, au Riwaya, au Ngano ?
Halafu ikibidi kwa maoni yako Tunaomba utujuze na uchaguzi mkuu ujao je CCM unavyo waona atatumia tena Utanzu gani wa Sanaa ktk uchaguzi huo ? Je watatumia hadith, au Ushairi au Comedi ?
Ni hayo tuu ndugu Bashiru Ally kwa leo tutaonana mwezi October 2020.
Maendeleo hayana vyama.
Sent using Jamii Forums mobile app