Amani Msumari
JF-Expert Member
- Aug 21, 2016
- 1,830
- 976
Tarehe 15 Oktoba, 2020, Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Dkt. Bashiru Ally Kakurwa, atakutana na kufanya mazungumzo na Mabalozi mbalimbali wanaoziwakilisha nchi zao hapa nchini.
Mazungumzo hayo yatafanyika Ofisi Ndogo za Makao Makuu Lumumba jijini Dar es salaam kuanzia mida ya saa nne asubuhi.
Vyombo mbalimbali vya habari vinaalikwa kufuatilia na kuhabarisha Umma katika mazungumzo hayo.
Imetolewa na;
Said Said Nguya
Afisa Habari
Ofisi ya Katibu Mkuu
CHAMA CHA MAPINDUZI (CCM)
14 Oktoba, 2020
==========
UPDATE:
Mabalozi wameanza kufika ofisi ndogo za CCM, Lumumba
👆🏽Katibu Mkuu wa CCM, Dkt. Bashiru Ally Kakurwa amempokea Balozi wa Marekani Tanzania Dkt. Donald J. Wright ambaye amefika katika Ofisi za Chama Cha Mapinduzi (CCM), Lumumba jijini Dar es Salaam.
Mazungumzo hayo yatafanyika Ofisi Ndogo za Makao Makuu Lumumba jijini Dar es salaam kuanzia mida ya saa nne asubuhi.
Vyombo mbalimbali vya habari vinaalikwa kufuatilia na kuhabarisha Umma katika mazungumzo hayo.
Imetolewa na;
Said Said Nguya
Afisa Habari
Ofisi ya Katibu Mkuu
CHAMA CHA MAPINDUZI (CCM)
14 Oktoba, 2020
==========
UPDATE:
Mabalozi wameanza kufika ofisi ndogo za CCM, Lumumba
👆🏽Katibu Mkuu wa CCM, Dkt. Bashiru Ally Kakurwa amempokea Balozi wa Marekani Tanzania Dkt. Donald J. Wright ambaye amefika katika Ofisi za Chama Cha Mapinduzi (CCM), Lumumba jijini Dar es Salaam.