Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Zitto hatunae tena, na hivi timu kikwete zimeshika hatamu, anapiga tu hela za USALITI.
Lakini kwa hili tusimsingizie, anatumikia cheo kipya alichokabidhiwa hivi karibuniZitto siku zote anatumika kwa masrahi ya watawala ni ngumu sana kumuamini zitto,
Kukosa uwakilishi Bungeni ndio kifo chenyewe!!uhai wa chama nini?maandamano?mikutano ya ndani???Mbowe kawekwa ndani kimkakati kupisha uchaguzi ujao na kuua harakati zake za kichama!!!Chadema haitokufa leo wala kesho kila aliyejaribu kuiuwa chadema alikufa yeye, ( MEKO)
kukosa uwakilishi Bungeni ndio kifo chenyewe!!uhai wa chama nini?maandamano?mikutano ya ndani???Mbowe kawekwa ndani kimkakati kupisha uchaguzi ujao na kuua harakati zake za kichama!!!
Kijana wa Jakaya huyu, hawezi kumgeka mlezi wakeSijui kwanini sijawahi kumwamini Zitto.
Jamani siasa sio ugomvi wala chuki.Ayatollah Zitto ni msaliti sasa maccm yameanza kumtumia wazi wazi. ACT Wazalendo
Jamani siasa sio ugomvi wala chuki.
Mwenzako akifanya uadui na chuki wewe mpende.
MaCCM tuwe nawo pamoja na tuwapende wapo baadhi watakao badilika.
Maslahi ya taifa. Tusiassume negative katika kila jambo.View attachment 2087577
Taarifa zinasema wamekubaliana kushrikiana katika siasa zao.
My Take
Unashirikiana nini na CCM kwa maslahi ya nani?
Maslahi ya taifa. Tusiassume negative katika kila jambo.
Mbona ya zamani hiiView attachment 2087577
Taarifa zinasema Zitto na CCM wamekubaliana kushrikiana katika siasa zao.
My Take
Unashirikiana nini na CCM kwa maslahi ya nani?
Kwa maslahi ya taifa 😯😯😯😯Maslahi ya taifa. Tusiassume negative katika kila jambo.