"Zitto pia alipongeza ukuaji wa uchumi na demokrasia hapa nchini"

Huyu huyu alielia juzi kufanyiwa rafu Zanzibar mpaka jamaa wa CCM akajitoa au Zitto mwingine?!

Nina wasiwasi na hiyo nukuu hapo juu, inawezekana mleta mada umeikosea, tazama tena rekodi zako.
yule ni CCM full
 
Ccm walitaka tu hyo picha na zitto na wameigharamia fedha nyingi ili mabeberu waone kuna demokrasia...
 
Kama huwawezi jiunge nao au mnaupinga usemi wetu mkuu wa kiswahilia,sijaona tatizo ikiwa wengine waliomba kwenda Ikulu kfungua kibaraza cha kahawa na watawala hatimae mnajua kinachoendelea serikali kasweka jela mwenyekiti.
 
zito anajiandaa kuwa kiongozi wa kambi rasmi ya upinzani Bungeni 2025-30!! Na anajua hatma ya Mbowe!!!kikwete alimuandaa zito kuiua Chadema kupitia ACT!!!MISSION ACOMPLISHED!!!
 
"Zitto pia alipongeza ukuaji wa uchumi na demokrasia hapa nchini"

Huyu huyu alielia juzi kufanyiwa rafu Zanzibar mpaka jamaa wa CCM akajitoa au Zitto mwingine?!

Nina wasiwasi na hiyo nukuu hapo juu, inawezekana mleta mada umeikosea, tazama tena rekodi zako.
Nafikiri Maza atakuwa anataka kumshirikisha kwenye serikali yake.....!!
 
Zitto siku ya leo tarehe 8.09.2021 amefanya mazungumzo na ndugu katibu mkuu wa CCM ndugu Daniel Chongolo kwa niaba ya CCM.

Mazungumzo hayo yaiyodumu kwa zaidi ya masaa 7 yalijadili vitu vingi ikiwemo ushirikiano baina ya vyama vyao. Zitto pia alipongeza ukuaji wa uchumi na demokrasia hapa nchini.

Taarifa zaidi inafuata

View attachment 1929653
ZT ccm damu
 
"Zitto pia alipongeza ukuaji wa uchumi na demokrasia hapa nchini"

Huyu huyu alielia juzi kufanyiwa rafu Zanzibar mpaka jamaa wa CCM akajitoa au Zitto mwingine?!

Nina wasiwasi na hiyo nukuu hapo juu, inawezekana mleta mada umeikosea, tazama tena rekodi zako.
Haaa haa just haaa haa..! CCM ndivyo walivyomwandikia Zito cha kusema.😄
Rejea vikaratasi vya waunga juhudi kina Katambi zilivyokua zinatolewa na Polepole,

Zitto alitaka kutuuza CHADEMA, akashindwa.
Lipumba akafanikiwa kuiuza CUF.
 
  • Nzuri
Reactions: BAK
zito anajiandaa kuwa kiongozi wa kambi rasmi ya upinzani Bungeni 2025-30!! Na anajua hatma ya Mbowe!!!kikwete alimuandaa zito kuiua Chadema kupitia ACT!!!MISSION ACOMPLISHED!!!

Chadema haitokufa leo wala kesho kila aliyejaribu kuiuwa chadema alikufa yeye, ( MEKO)
 
Ayatollah Zitto ni msaliti sasa maccm yameanza kumtumia wazi wazi. ACT Wazalendo
Aliopokutana na katibu wa CDM Mnyika hakuwa msaliti , Leo kukutana na katibu was ccm ndo usaliti?
Hizi fikra za usaliti kwa kila mtu ni za kijinga tuachane nazo zitadumaza akili za viongozi wa upinzani washindwe kutafuta mbinu mbadala za ushindani
Fikiri ndo mmepewa madaraka alafu kila anaetofoutiana na nyie ni msaliti , si mtawawaliza wapinxani wenu
Tubadili mbinu na mitazamo kama tunajiandaa kupokea serikali
 
KATIBU MKUU WA CCM DANIEL CHONGOLO AFANYA MAZUNGUMZO NA ZITTO KABWE

Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Ndg. Daniel Chongolo amefanya mazungumzo na Mwenyekiti wa Kituo cha Demokrasia Tanzania (TCD) Ndg. Zitto Kabwe.

Mazungumzo hayo yamefanyika leo tarehe 08 Septemba, 2021 Makao Makuu ya CCM Dodoma, ambapo Ndg. Zitto aliambatana na Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa kituo hicho Ndg. Lawrence Malawa.

Pamoja na mambo mengine, Mazungumzo hayo yamelenga zaidi kujitambulisha kwa Mwenyekiti mpya wa TCD Ndg. Zitto Kabwe alieyechaguliwa mwezi Agosti mwaka huu.

Imetolewa na;

Said Said Nguya
Afisa Habari
Ofisi ya Katibu Mkuu
CHAMA CHA MAPINDUZI (CCM)

Ananikumbusha ya Mongosutu Buthelezi wakati ANC na makundi mengine yakipigania uhuru yeye alikuwa aki-sneak behind na kushirikiana na Makaburu kuwajumu waafrika wenzake. Hizo ni roho za kibinafsi na kutaka kutumia advantage ya kupata madaraka kwa kutumia mgongo wa CHADEMA ndiyo maana kila siku unamuona ni kigeugeu. Kilichopo kichwani kwake yeye ni Cheo na hana falsafa anayoisimamia ambayo unaweza kusema ameiuza kwa wananchi na wameielewa. Mkakati wake muda wote ni kutafuta mahali penye ombwe la uongozi au ombwe la mfumo wa kufanya siasa basi yeye ndiyo anaingia hata kama kwa macho ya kawaida inaonekana ni kujidhalilisha yeye huwa hajali.
 
KATIBU MKUU WA CCM DANIEL CHONGOLO AFANYA MAZUNGUMZO NA ZITTO KABWE

Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Ndg. Daniel Chongolo amefanya mazungumzo na Mwenyekiti wa Kituo cha Demokrasia Tanzania (TCD) Ndg. Zitto Kabwe.

Mazungumzo hayo yamefanyika leo tarehe 08 Septemba, 2021 Makao Makuu ya CCM Dodoma, ambapo Ndg. Zitto aliambatana na Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa kituo hicho Ndg. Lawrence Malawa.

Pamoja na mambo mengine, Mazungumzo hayo yamelenga zaidi kujitambulisha kwa Mwenyekiti mpya wa TCD Ndg. Zitto Kabwe alieyechaguliwa mwezi Agosti mwaka huu.

Imetolewa na;

Said Said Nguya
Afisa Habari
Ofisi ya Katibu Mkuu
CHAMA CHA MAPINDUZI (CCM)

Zitto alialikwa na CCM kama kiongozi mwandamizi wa TCD au?
 
mambo si mambo zenji.... CCM wameona wakae mezani tena kutafuta muafaka ndani ya muafaka.
 
Zitto siku ya leo tarehe 8.09.2021 amefanya mazungumzo na ndugu katibu mkuu wa CCM ndugu Daniel Chongolo kwa niaba ya CCM.

Mazungumzo hayo yaiyodumu kwa zaidi ya masaa 7 yalijadili vitu vingi ikiwemo ushirikiano baina ya vyama vyao. Zitto pia alipongeza ukuaji wa uchumi na demokrasia hapa nchini.

Taarifa zaidi inafuata

View attachment 1929653
Mwacheni ZZK aizike CCM rasmi.
 
Back
Top Bottom