View attachment 1929653
Zitto siku ya leo tarehe 8.09.2021 amefanya mazungumzo na ndugu katibu mkuu wa CCM ndugu Daniel Chongolo kwa niaba ya CCM.
Mazungumzo hayo yaiyodumu kwa zaidi ya masaa 7 yalijadili vitu vingi ikiwemo ushirikiano baina ya vyama vyao. Zitto pia alipongeza ukuaji wa uchumi na demokrasia hapa nchini.
Taarifa zaidi inafuata
Muhimu kumsikia Zitto mwenyewe ambaye amekuwa mhudhuriaji mzuri kwenye kesi ya Mh. Mbowe.
Tuwatambue wanaohaha kutusambaratisha kama Taifa
Kupalilia mifarakano watafanya kila kitu hata kama ni cha kipumbafu.
Watajwa kwenye uzi huo ni wa kuogopwa kama ukoma!