Kuna taarifa kuwa Katibu Mkuu wa CCM, Wilson Mukama, ameita mkutano wa wahariri wa vyombo vya habari muda huu kwenye Hotel ya Peacock jijini Dar es Salaam.
Hebu wahariri tupeni yaliyojiri mkiwa kwenye mkutano huo. Je, kasemaje kuhusu hatma ya mapacha watatu -- Lowassa, Rostam na Chenge? Ataweka mkazo kuhusu kufukuzwa kwao CCM au atalegeza kamba? Kitendawili hiki...
Hebu wahariri tupeni yaliyojiri mkiwa kwenye mkutano huo. Je, kasemaje kuhusu hatma ya mapacha watatu -- Lowassa, Rostam na Chenge? Ataweka mkazo kuhusu kufukuzwa kwao CCM au atalegeza kamba? Kitendawili hiki...