Kuhudhuria baa za mashoga na kukesha baa maalum za mashoga alikua anafanya nini?Kiingereza ni tatizo, zaidi ya kuwa kwenye mtandao huo hakuna ushahidi wa jambo jingine baya dhidi yake. Amejiuzulu kutokana na kuwepo tu katika mtandao huo kunaenda kinyume na maadili ya kazi yake.
Sent from my TECNO K7 using JamiiForums mobile app
Mbona sikuwahi sikia shykhe wa msikiti flani ndani ya nchi flani ni Shoga?
Wakristo mujitathmini.
Mpe kinyeo siku moja ndo utamjua kama yeye ni shoga,,, inabidi mjitathmini why kashfa nyingi za uchoko zipo kanisani tena kwa viongozi waandamiziHivi yule aliyemlaani fande sele kwani vipi mbona afande hadi leo anakula bhange tu, naye yule bwwabwah ndomana hata laana haijafika
Me, sio sheykh wala imamu.shykhe naona unaingiza na mahaba ya kidini?