ACT Wazalendo
JF-Expert Member
- May 5, 2014
- 609
- 1,540
Nimefarijika kuona Askofu Mwamakula ameachiwa huru baada ya kukamatwa na kushikiliwa bila sababu ya msingi. Matembezi aliyoyaandaa ya kudai Tume Huru na Katiba Mpya ni haki yake na haki ya kila Mtanzania.
Pichani wadau kutoka Vyama vya Siasa na Asasi za Kiraia tuliokwenda kufuatilia suala lake tukiwa kwenye picha ya pamoja baada ya Askofu Mwamakula kuachiwa kwa dhamana.
Katibu Mkuu wa ACT–Wazalendo.
Ado Shaibu
Pichani wadau kutoka Vyama vya Siasa na Asasi za Kiraia tuliokwenda kufuatilia suala lake tukiwa kwenye picha ya pamoja baada ya Askofu Mwamakula kuachiwa kwa dhamana.
Katibu Mkuu wa ACT–Wazalendo.
Ado Shaibu