Kivipi na kwa lipi?Duuh, chadema chali Ukonga.
Utapata jibu tarehe 16 mwezi huu.Kivipi na kwa lipi?
Kumbe umegeuka pweza mtabiri siku hizi? Basi ungeandika," natabiri"!Utapata jibu tarehe 16 mwezi huu.
Hakuna haja ya kutabiri. Mambo yote yako wazi.Kumbe umegeuka pweza mtabiri siku hizi? Basi ungeandika," natabiri"!
Ni kweli yapo wazi lakini hayazidi bandiko la Zitto lililopo hewani! Sijakuona kule ukilisemea, kulikoni? Au uchumi na wewe ni sawa na pua na moshi?Hakuna haja ya kutabiri. Mambo yote yako wazi.
Hakuna cha bandiko la Zitto wala nini, ushindi upo pale pale.Ni kweli yapo wazi lakini hayazidi bandiko la Zitto lililopo hewani! Sijakuona kule ukilisemea, kulikoni? Au uchumi na wewe ni sawa na pua na moshi?
Nimeiona clip ya makongoro akiuza uso wake uliokongoroka na konyagi mwitu akimnanga mstaafu jambo linaloashiria anguko la waitara! Mtawaokota sana walio mikoani kuja mjini kuwaokoa kwenye kibano cha kampeni! Sijui kama unaona jinsi ilivyo ngumu ccm kushinda?Hakuna cha bandiko la Zitto wala nini, ushindi upo pale pale.
Payuka utakavyo lakini ushindi upo pale pale.Nimeiona clip ya makongoro akiuza uso wake uliokongoroka na konyagi mwitu akimnanga mstaafu jambo linaloashiria anguko la waitara! Mtawaokota sana walio mikoani kuja mjini kuwaokoa kwenye kibano cha kampeni! Sijui kama unaona jinsi ilivyo ngumu ccm kushinda?