ikhatibu
JF-Expert Member
- Nov 14, 2013
- 2,359
- 2,273
Kaongea hivyo leo, kwenye kipindi cha michezo Clauds fm.Mmmmmmmh, je, ni kweli JERRY MURO amesema YANGA ni kubwa kuliko CAF?????????? jamani, siamini hivyo....
Kaongea hivyo leo, kwenye kipindi cha michezo Clauds fm.Mmmmmmmh, je, ni kweli JERRY MURO amesema YANGA ni kubwa kuliko CAF?????????? jamani, siamini hivyo....
Jeri muro ni mbishi, mbumbumbu na mwenye majivuno. Kwenye mpira kiongozi wa club huwezi kubishia maamuzi na kanuni za wazi za CAFU na FIFA. Hii yaonyesha viongozi wa vilabu vya soka tulio nao. Anajivunia masters hajui watu wanaongelea PhD na post doc though waweza kuwa na hivi vyote bado mtu mwenye diploma akawa na weredi na uelewa zaidi.
Umemwona abiria wa Ubungo-Posta anayeenda Mwembechai akasafiri kwanza hadi Posta ndio arudi Mwembechai?Alijibu hoja zote za Muro ndio akaanza kumjibu Muro as a person
Kasema mkuu nimemsikia mwenyewe ithink alikua amepaniki maana yule jamaa ni dakika sufuri. Sikiliza michezo saa tatu hope wata mquoteMmmmmmmh, je, ni kweli JERRY MURO amesema YANGA ni kubwa kuliko CAF?????????? jamani, siamini hivyo....
Thread za mambumbumbu fc utazijua tu.
Umemwona abiria wa Ubungo-Posta anayeenda Mwembechai akasafiri kwanza hadi Posta ndio arudi Mwembechai?
Sawa iwe hivyo. Yaani mtu akiulizwa jawabu ya hesabu ya tano mara nane akajibu sawasawa kuwa ni arobaini na akaendelea kwamba tano hiyohiyo mara kumi ni hamsini, utamuhesabuje?Mfano wako hau-apply hapa. Mwesiga alitoa hoja kwanza kisha akaenda mbali zaidi. Ni kama mtu anayetoka Ubungo - Mwembechai kuamua kufika usalama pia kusalimia jamaa baada ya kumaliza shughuli zilizompeleka mwembechai
Hizo PHD zimesaidia nini Taifa...masikini wa kutupwaaaJeri muro ni mbishi, mbumbumbu na mwenye majivuno. Kwenye mpira kiongozi wa club huwezi kubishia maamuzi na kanuni za wazi za CAFU na FIFA. Hii yaonyesha viongozi wa vilabu vya soka tulio nao. Anajivunia masters hajui watu wanaongelea PhD na post doc though waweza kuwa na hivi vyote bado mtu mwenye diploma akawa na weredi na uelewa zaidi.
Kwa hiyo mechi itarushwa live na kituo gani?
Vitu vingine ni rahisi sana kusema, ila tujiulize wameshalipa pesa ya kutumia uwanja? Ile 5% ya mapato ya uwanjani kupelekwa CAF wataikokotoa namna gani? Maamuzi mengine yanatia mashaka sana na hapa inatupa fursa ya kupima weledi wa Muro kuwa Msamaji wa Yanga.Mmmmmmmh, je, ni kweli JERRY MURO amesema YANGA ni kubwa kuliko CAF?????????? jamani, siamini hivyo....
kupe lazima alalamike hajapata damu ya yangaKatika hali isiyokuwa ya kawaida, katibu mkuu wa TFF amemjia juu Jerry Muro mkuu wa kitengo cha habari cha Yanga kuwa ni mbumbumbu na mtu asiyejua mambo ndio maana yeye peke yake kati ya viongozi wa Yanga ndio anaendelea kupiga kelele kuhusiana na mechi za Yanga.
Hii si kawaida kwa Mwesigwa ambaye ana haiba ya upole, uungwana na huzungumza kwa tahadhari kubwa kila mara. Lakini leo wakati akizungumza na kituo cha Clouds FM kuhusu haki za matangazo ya television za mechi za Yanga ktk kombe la Shirikisho, amejibu lawama za Jerry Muro na kumwita mbumbumbu, kwa kuwa hawakuhudhuria semina za CAF na haonekani kujua vitu vingi.
Kupe mwaka huu jasho litamtoka na lijitumbo lake la minyoo, nashauri Manji azidi kuwabana tff kila kona wasipumue kabisa.kupe lazima alalamike hajapata damu ya yanga
Huyo si kama ana jina la wahaya, ndio anasemwa mpole, laaaaaa!!!!!