Makinikia Original
Member
- Aug 29, 2017
- 90
- 154
Kuna clip mtandaoni inamuonesha katibu mkuu TAMISEMI, Eng. Iyombe akiwaasa maDC wapya kufuata sheria, kanuni na taratibu huku wakitenda haki na kuepuka kamat-kamata na tumbua-tumbua.
Huyu mzee kwa awamu hii ndo msema kweli nambari wani.
Huyu mzee kwa awamu hii ndo msema kweli nambari wani.