Zing
JF-Expert Member
- Jun 24, 2009
- 1,767
- 470
sijui organisation structure ya serkali ilivyo lakininina changamoto na dukuduku juu ya hivi vyeo vikubw aviwili kwenye wizara
Waziri yuko juu kuu ya katibu mkuu ki cheo lakini naamini mtendaji mkuu wa wizara ni katibu mkuu na si waziri.wote karibu mkuu na waziri wanateuliwa na rais.
Sasa sijui shughuli za kila siku za waziri ni zipi na zina tofauti gani na zile shighuli za mtendaji mkuu wa wizra ambaye ni katibu mkuu? i nahisi inagwa mambo yankwenda lakini kunaweza kuwa na conclict of responsibility na hivyo kuchangia matatizo kwenye decisiaon makin juu ya utendaji wa wizara zetu.
Kwa maana hiyo mi nilikuw anapendekeza ceo kimoja kufutwe kupunguza ukubwa wa serikali . kwenye wizara tubaki na makatibu wakuu au tuwe na mawaziri.
Kama basi ni muhimu vyeo hivi vyeto ni lazima viwepo kwa nini makatibu wakuu wasiajiriwe kwa kufanya application na ikulu iwa fanyie usaili na kuwapa mkakati wa majukumu watayotakiwa kutekeleza .
Uwajibikaji unakosekana sababu nafasi nyingi zinaoenekana ni za kisiasa. nasema ni za kisiasa sababu ni za kuteuliwa . Kwa sababu wizarani sio tu waziri na katibu wanateuliwa lakini hata wakurugenzi nao. Somewhere juu juu ya utawala anatakiw awepo mtu ambaye hata kama kateuliwa basi ujilikane alifanyiwa usaili na kukidhi mahitaji ya wizara au idara husika.
Naamini kwa style hii JK anaweza kupunguza zigo la serikali kubwa na kuongeza uwajibikaji.
Waziri yuko juu kuu ya katibu mkuu ki cheo lakini naamini mtendaji mkuu wa wizara ni katibu mkuu na si waziri.wote karibu mkuu na waziri wanateuliwa na rais.
Sasa sijui shughuli za kila siku za waziri ni zipi na zina tofauti gani na zile shighuli za mtendaji mkuu wa wizra ambaye ni katibu mkuu? i nahisi inagwa mambo yankwenda lakini kunaweza kuwa na conclict of responsibility na hivyo kuchangia matatizo kwenye decisiaon makin juu ya utendaji wa wizara zetu.
Kwa maana hiyo mi nilikuw anapendekeza ceo kimoja kufutwe kupunguza ukubwa wa serikali . kwenye wizara tubaki na makatibu wakuu au tuwe na mawaziri.
Kama basi ni muhimu vyeo hivi vyeto ni lazima viwepo kwa nini makatibu wakuu wasiajiriwe kwa kufanya application na ikulu iwa fanyie usaili na kuwapa mkakati wa majukumu watayotakiwa kutekeleza .
Uwajibikaji unakosekana sababu nafasi nyingi zinaoenekana ni za kisiasa. nasema ni za kisiasa sababu ni za kuteuliwa . Kwa sababu wizarani sio tu waziri na katibu wanateuliwa lakini hata wakurugenzi nao. Somewhere juu juu ya utawala anatakiw awepo mtu ambaye hata kama kateuliwa basi ujilikane alifanyiwa usaili na kukidhi mahitaji ya wizara au idara husika.
Naamini kwa style hii JK anaweza kupunguza zigo la serikali kubwa na kuongeza uwajibikaji.