Uzalendo wa Kitanzania
JF-Expert Member
- Mar 8, 2020
- 2,204
- 4,692
Bi Queen M. Mlozi aliyekuwa Katibu Mkuu wa Umoja wa Wanawake Tanzania ( UWT) amekabidhi rasmi Ofisi kwa Katibu Mkuu Mpya Wa Umoja huo Bi Philis M. Nyimbi
Hafla ya makabidhiano hayo imefanyika leo Alhamisi Agosti 05, 2021 kwenye makao makuu ya UWT Jijini Dodoma
Hafla ya makabidhiano hayo imefanyika leo Alhamisi Agosti 05, 2021 kwenye makao makuu ya UWT Jijini Dodoma