Katibu Mkuu Kiongozi wa Ikulu, rekebisha dosari hii

hivyo ndivyo haswaa! executive =uongozi . na kwa kuwa ameanza na serikali juu , wapo sawa tu,
.
Rejea Katiba hapa chini, hasa kifungu cha 4(1) kinachoongelea "mamlaka ya utendaji," "mamlaka ya kutekeleza utoaji haki," na "mamlaka ya kutunga sheria."
 
@Mama Amon Mtoto wako ndo @Amon Lisa?
.
Kwenda kule.

NImetumia kidole kukuonyesha mwezi wewe unakodolea kidole badala ya kuangalia mwezi.

Duniani kote, hakuna secret service department inayotumia ridicule method kwa sasa.
 
Kun watu,manavamia vamia.Lumumba ,MBNA mbinu zenu hatuzielewi au na ww nd watu wasiojulikana?
 
Mama Amon anasema kuna mihimili mitatu kwa mujibu wa katiba ambayo ni Serikali(Executive), Mahakama na Bunge, lakini website ya ikulu imeandika kuwa executive, mahakama na bunge viko ndani ya serikali kitu ambacho siyo kweli, kwani mahakama na bunge ni mihimili inayojitegenea tofauti na serikali.
Binafsi sija

Binafsi sijakuelewa unachokitaka ni nini kirekebishwe.
 
Mama Amon anasema kuna mihimili mitatu kwa mujibu wa katiba ambayo ni Serikali(Executive), Mahakama na Bunge, lakini website ya ikulu imeandika kuwa executive, mahakama na bunge viko ndani ya serikali kitu ambacho siyo kweli, kwani mahakama na bunge ni mihimili inayojitegenea tofauti na serikali.
Ngoja aamke,bado amelala.
 
Tunarudi kule kule ,Kuna tofauti kati ya serikali na nchi.....Kwa mujibu wa SALIVA RWEYEMAMU wa Awamu ya 5 Msigwa ni kwamba Serikali ina mihimili mitatu yaani Uongozi,bunge na mahakama.
 
Mama Amon anasema kuna mihimili mitatu kwa mujibu wa katiba ambayo ni Serikali(Executive), Mahakama na Bunge, lakini website ya ikulu imeandika kuwa executive, mahakama na bunge viko ndani ya serikali kitu ambacho siyo kweli, kwani mahakama na bunge ni mihimili inayojitegenea tofauti na serikali.
Kwenye awamu ya tano bunge na mahakama viko chini ya excutive, au mjamuelewa Ndugai mpaka sasa usitukane mkono unaokulisha?

Ndugai sasa hivi ni mtetezi wa serikali na siyo kuisimamia tena serikali inayowalisha.
 
Binafsi sija

Binafsi sijakuelewa unachokitaka ni nini kirekebishwe.

Sidhani kama utaelewa. Unajua tofauti ya Taasisi tatu zinazounda JMTZ?
Yaani Bunge,Serikali,Na Mahakama?
Unataraji pale neno "Serikali" mtiriko chini ulifaa; Ofisi ya Raisi,Makamu wa Raisi, Katibu Mkuu ......,Nk(Taasisi
 
Back
Top Bottom