Katibu Mkuu Kiongozi, Balozi Kattanga yupo wapi?

Leo ni mara ya pili katika kipindi cha karibu wiki ya tatu sasa Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Kattanga hajaonekana hadharani na nafasi yake imekuwa ikikaimiwa na Mh Kusiruka

Yeyote mwenye taarifa za huyu Mheshimiwa tafadhari tunaomba atudokeze.
Ahsante kwa kuleta mada hii mezani,
Ila imesababisha nijiulize maswali yafuatayo kuhusu Katibu Mkuu Kiongozi

1. Katibu Mkuu Kiongozi kama mtumishi wa umma,.yeye hawezi kuwa na likizo!?

2. Katbu Mkuu Kiongozi huyu kabla ya uteuzi alikuwa ni Balozi wa Tanzania nchini Japan,
Na alipata uteuzi ghafla pasipo kutarajia,
Je ni lini baada ya uteuzi ameenda kukabidhi ofisi hiyo ya umma ya Ubalozi??

3. Alikuwa akiishi Japani kikazi, ni lini kaamisha familia na vitu vyake kutoka Japan kuja Tanzania!?

Binafsi sijui yuko wapi, ila nimeuliza maswali hayo!
Leo ni mara ya pili katika kipindi cha karibu wiki ya tatu sasa Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Kattanga hajaonekana hadharani na nafasi yake imekuwa ikikaimiwa na Mh Kusiruka

Yeyote mwenye taarifa za huyu Mheshimiwa tafadhari tunaomba atudokeze.
 
Watu hamna jicho la tatu kbisa ..
Hivi ukimuangalia vizuri mh.kattanga mkazie jicho vizuri nini unaona..
Muangalieni vizuri yule mtu alaf muache kuuliza yupo wapi kila mara.
Nafikiri kama wewe mkuu... possibly anaandaliwa kushika kitengo fulani nyeti... sijui kama nawaza kama wewe???
 
Ahsante kwa kuleta mada hii mezani,
Ila imesababisha nijiulize maswali yafuatayo kuhusu Katibu Mkuu Kiongozi

1. Katibu Mkuu Kiongozi kama mtumishi wa umma,.yeye hawezi kuwa na likizo!?

2. Katbu Mkuu Kiongozi huyu kabla ya uteuzi alikuwa ni Balozi wa Tanzania nchini Japan,
Na alipata uteuzi ghafla pasipo kutarajia,
Je ni lini baada ya uteuzi ameenda kukabidhi ofisi hiyo ya umma ya Ubalozi??

3. Alikuwa akiishi Japani kikazi, ni lini kaamisha familia na vitu vyake kutoka Japan kuja Tanzania!?

Binafsi sijui yuko wapi, ila nimeuliza maswali hayo!
1.likizo inaleta mashaka sana kuwa kweli maana ndiyo kwanza amepewa majukumu mapya na mind you hii pia ni serikali mpya iliyokuja kwa changamoto lukuki.

2.kwa nafasi ya Katibu Kiongozi kurudi Japan kwa takriban wiki 3 ili kukabidhi ofisi sidhani kama hilo linawezekana pia, balozi si kama Waziri mwenye wizara na ndiyo maana Kuna mabalozi wanaitwa nyumbani na kutenguliwa hawarudi huko kukabidhi ofisi mfano mzuri Ni Sokoine aliitwa na ikaishia hapohapo hakurudi Ubelgiji kukabidhi ofisi.

3.kuhamisha familia pia nayo haiwezi kuwa sababu ya kupotea wiki 3 maana ana wasaidi kibao plus Mke wake wanaweza kufanya hiyo kazi.
 
1.likizo inaleta mashaka sana kuwa kweli maana ndiyo kwanza amepewa majukumu mapya na mind you hii pia ni serikali mpya iliyokuja kwa changamoto lukuki.

2.kwa nafasi ya Katibu Kiongozi kurudi Japan kwa takriban wiki 3 ili kukabidhi ofisi sidhani kama hilo linawezekana pia, balozi si kama Waziri mwenye wizara na ndiyo maana Kuna mabalozi wanaitwa nyumbani na kutenguliwa hawarudi huko kukabidhi ofisi mfano mzuri Ni Sokoine aliitwa na ikaishia hapohapo hakurudi Ubelgiji kukabidhi ofisi.

3.kuhamisha familia pia nayo haiwezi kuwa sababu ya kupotea wiki 3 maana ana wasaidi kibao plus Mke wake wanaweza kufanya hiyo kazi.
Umejua alipo sasa,
???,
Fatilia uwapisho wa Ikulu leo utajua
 
Huyu katibu ana keep very low profile.
Enzi za msambaa zilikua hazipiti siku mbili bila kumuona kwenye tiivii.
 
Back
Top Bottom