CHADEMA
JF-Expert Member
- Apr 13, 2013
- 488
- 2,467
Akiwa ameingia mkoani Tabora kupitia Kaliua, Urambo na jana akafanya mikutano maeneo ya Mhulidede, Shitage na Bukumbi, wilayani Uyuwi, leo atakuwa na mikutano miwili eneo la Kakola asubuhi kisha jioni atafanya mkutano Uwanja wa Shule ya Sekondari Uyuwi, mjini Tabora, kuanzia saa 9 jioni.
Mikutano ya jana Shitange na Bukumbi na mapokezi ya Tabora mjini, wakati msafara wa Dkt. Slaa ukipita hapo kuelekea Uyuwi, Jimbo la Tabora Kaskazini.