KATIBU Mkuu Dkt. Slaa kuunguruma leo Tabora, Uwanja wa Shule ya Sekondari Uyuwi

CHADEMA

JF-Expert Member
Apr 13, 2013
488
2,467

Akiwa ameingia mkoani Tabora kupitia Kaliua, Urambo na jana akafanya mikutano maeneo ya Mhulidede, Shitage na Bukumbi, wilayani Uyuwi, leo atakuwa na mikutano miwili eneo la Kakola asubuhi kisha jioni atafanya mkutano Uwanja wa Shule ya Sekondari Uyuwi, mjini Tabora, kuanzia saa 9 jioni.

Mikutano ya jana Shitange na Bukumbi na mapokezi ya Tabora mjini, wakati msafara wa Dkt. Slaa ukipita hapo kuelekea Uyuwi, Jimbo la Tabora Kaskazini.

Slaa kuhutubia Bukumbi 1..jpg
 
Mapokezi Tabora mjini....


 

Attachments

  • Mapokezi Tabora.jpg
    Mapokezi Tabora.jpg
    451.8 KB · Views: 229

Katibu Mkuu akihutubia Shitange


 

Attachments

  • Slaa kuhutubia Shitange 1..jpg
    Slaa kuhutubia Shitange 1..jpg
    463.6 KB · Views: 1,701
Duh! Kweli Rais wetu kachuja. Yaani pamoja na hadhi hali ndo kama tunavyoiona?
 
Uyui au Uyuwi? kama ni Uyui basi karibu na shule ya mazoezi mwenge na pia karibu na uwanja wa Vita@ Kurugenzi ya Habari
 
Ni kweli kabisa tupo hapa na maandalizi yameanza,vijana watafanya maandamano mafupi ya amani kutoka Student center jirani na Saut-Tabora kuelekea viwanja vya Uyui.Mungu tusaidie.
 

Hapa ndipo zilipigwa nondo za ufisadi zilizoko kwenye Ripoti ya siri ya CHC kuhusu mashirika ya umma yaliyouzwa kiholela na serikali ya CCM. Hapa Dkt. Slaa alifichua siri kubwa kwamba serikali inamiliki (kwa siri?) asilimia 30 ya hisa za NBC kwa niaba ya Watanzania, lakini jambo hilo limefichwa.

Akabainisha nama ambavyo ripoti ya CHC imeandika kwamba NBC imepata hasara ya bil. 50 ambazo zinatakiwa kulipwa na serikali kwa ABSA na sasa serikali imelazimika kukopa tena kwa ABSA bil 250 ili kulipa mkopo huo hadi 2015.


 

Attachments

  • Slaa kuhutubia Urambo 2..jpg
    Slaa kuhutubia Urambo 2..jpg
    451.8 KB · Views: 932
Taifa linahitaji ukombozi, Taifa hili linatakiwa kuzaliwa upya, Go on DR.Slaa -- Go on CHADEMA; tumaini pekee la watanzania.
 
Shabaan Mambo.jpg

Mwenyekiti wa Kanda ya Magharibi, Shaaban Mambo, akiwajibika jukwaani
 
2 Reactions
Reply
Back
Top Bottom