johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,768
- 141,632
Ndugu Chongolo Katibu mkuu wa CCM, ninakueleza haya kama mwanaCCM mwenzangu lakini zaidi kama mwana usharika mwenzangu, binadamu tunarithi baraka na kamwe haturithi dhambi na laana.
Kuna hao wabunge 19 yaani Halima James Mdee na wenzake, tafadhali usijishughulishe nao kwa sababu hiyo dhambi inatafuta pa kuangamiza.
Chukua mazuri ya mtangulizi wako na yale mabaya liachie bunge, mikono yako ni misafi usiitie najisi.
Hizo nafasi 19 za ubunge ni Wananchi walipanga foleni wakaipigia kura Chadema kwa upande wa Rais na wabunge, ni haki yao mbele ya Mungu wa mbinguni.
Siasa siyo uadui.
Kazi Iendelee!
Kuna hao wabunge 19 yaani Halima James Mdee na wenzake, tafadhali usijishughulishe nao kwa sababu hiyo dhambi inatafuta pa kuangamiza.
Chukua mazuri ya mtangulizi wako na yale mabaya liachie bunge, mikono yako ni misafi usiitie najisi.
Hizo nafasi 19 za ubunge ni Wananchi walipanga foleni wakaipigia kura Chadema kwa upande wa Rais na wabunge, ni haki yao mbele ya Mungu wa mbinguni.
Siasa siyo uadui.
Kazi Iendelee!