Mwanahabari Huru
JF-Expert Member
- Mar 9, 2015
- 14,243
- 34,899
"Licha ya Tume ya Uchaguzi kuonya lakini tumeona kila kukicha DC wa Siha anapanda kwenye majukwaa anampigia kampeni mgombea wa ccm anashinda polisi na sasa tuna taarifa ana mpango wa kumkamata Operesheni Kamanda wetu na mgombea na kuwaweka ndani
- "Mpaka sasa hivi tunavyoongea wanawatafuta mgombea wetu wa Siha na Operesheni Kamanda wanataka wahakikishe wanaweka ndani mpaka Uchaguzi uishe bila kujua mashtaka yao
- "Tunaomba hii alert tuipitishie Tume wahakikishe kwamba wao ni chombo huru wanasimamia uchaguzi huu kwa uhuru" Dkt